Kama unatumia 'self contained house' jua ya kwamba unamuenzi mtu huyu

Kama unatumia 'self contained house' jua ya kwamba unamuenzi mtu huyu

Yaweza kuwa ni kweli Firauni mume wa Asia ndiye mwanzilishi wa mtindo huo wa nyumba. Lakini si kila alilolianzisha mwovu ni baya na halipaswi kufuatwa. Kuna mengine ni mazuri na yakuigwa kama la choo ndani.
Mwa mfano nijenge choo nje usawa huu nipigwe nondo usiku kisa nitakuwa nimemuiga firauni ? Mbona Mkewe hakudai talaka japo alijua jamaa alijitangazia Uungu na sio MUNGU. Lakini aliishi nae akiilinda ndoa.
 
Kama wewe ni fisadi jua ya kwamba unamuenzi mtu huyu👇
 
Habari zenu,

Kabla ya kuanza naomba niwatahadharishe ya kwamba kama mtu siyo muumini wala siyo kesi simlazimishi kukubaliana na mimi, asijisumbue!

Sasa tuendelee...

Dini ni mfumo ambao unategemea zaidi masimulizi ya kale. Masimulizi hayo yanahusu watu wema na wabaYa ambapo muumini analazimika kufuata yaliyofanywa na watu wema na kujiepusha na yaliyofanywa na watuwabaYya

Kulikuwa na mtu mwovu sana aliyeitwa Firauni (Farao) ambaye alikusanya watu akatangaza kuwa yeye ni Mungu. Mkewe akamchalenji kwamba Mungu gani anakwenda haja kama watu wengine. Watu nao wakashikilia hoja hiyo ndipo jamaa akaamua kujiandalia mfumo ndani ya nyumba yake ambao ulimwezesha kumaliza haja zake bila kuonekana na watu.

Mfumo huo aliouanzisha mtu huyo ndio huu ambao kwa sasa wameuboresha na kuuita self contained maarufu kama selfu kontena. Kwahiyo ndugu yangu unayeshangilia mfumo huo jitafakari kwa mara nyingine

Ahsanteni
Alichalenjiwa na mkewe bado akajenga selfukonteini ili mkewe asimuone au?
 
Halafu utegemee hawa waje wafaulishe watoto..kwa akili hizi za kijinga hata kujiongeza hawaweza..umasikni plus ujinga ni mzigo mkubwa sana

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata cheche ya mavi ni mavi sasa unakaa nayo vipi ndani ?
Uchafu haukai ndani, uchafu husukumwa na maji kwenda nje kwenye shimo kupitia kwenye mabomba, choo cha shimo uchafu unauona na joto na harufu huganda kwenye mwili wako, ukitoka chooni lazima ujifukizie ubani au manukato kwani utanuka kuliko nzi.
 
Habari zenu,

Kabla ya kuanza naomba niwatahadharishe ya kwamba kama mtu siyo muumini wala siyo kesi simlazimishi kukubaliana na mimi, asijisumbue!

Sasa tuendelee...

Dini ni mfumo ambao unategemea zaidi masimulizi ya kale. Masimulizi hayo yanahusu watu wema na wabaYa ambapo muumini analazimika kufuata yaliyofanywa na watu wema na kujiepusha na yaliyofanywa na watuwabaYya

Kulikuwa na mtu mwovu sana aliyeitwa Firauni (Farao) ambaye alikusanya watu akatangaza kuwa yeye ni Mungu. Mkewe akamchalenji kwamba Mungu gani anakwenda haja kama watu wengine. Watu nao wakashikilia hoja hiyo ndipo jamaa akaamua kujiandalia mfumo ndani ya nyumba yake ambao ulimwezesha kumaliza haja zake bila kuonekana na watu.

Mfumo huo aliouanzisha mtu huyo ndio huu ambao kwa sasa wameuboresha na kuuita self contained maarufu kama selfu kontena. Kwahiyo ndugu yangu unayeshangilia mfumo huo jitafakari kwa mara nyingine

Ahsanteni
Achana na sisi na maujinga ya kwenye mavitabu yenu yaliyoletwa na majahazi.
 
Walokole walivo wapumbavu Sasa,

Wataanza kuhusianisha wenye vyumba self contained na mpango wa 666[emoji1787]
 
Back
Top Bottom