Kama unaweza njoo

Kama unaweza njoo

Loh, wanakuja. Tahadhari ya virus tu!
 
kwa namna hyo kaka mbona unaweza ukawa player ghafla mana kila atakaekuja hautosema hapana kwake mpk mmtanue ndo useme hafai jiangalie wewe ohooo!
 
Mmmmmmh!!! Biasharaha hii hapana!!
 
huna hata lugha nzuri ya kumuambia mtu mzungumze,hata kama umebaki duniani mwenyewe sikutaki,sisi si bidhaa,ongea vizuri!!!!
 
hili gari linaelekea gongo la mboto sipandi!
 
Du kuna mchuchu ambao hauvuti, angalia kuna Isanga,! kubaka ni maisha katakuja katoto na na isivute lakini umebaka
 
kaka mbona gia ulioingilia ni kama ya kitapeli tapeli?mchuchu hatafutwi hivyo
 
astakafulwallah! Dooo! Enye Mwenyenzi tunusuru waja wako! Tunamuombea huyu kijana anaeita binadamu wenzake tena wa jinsi tofauti chuchu1
 
okay mimi na kutakia mafanikio mema ila kwa hivyo ulivyosema mchuchu utawapata wenye busara ngoja lizy aje utasikia
 
Kama upo tayari kunipa kad yako ya benk niwe nachukua hela nikihitaj. pia uwe nausafiri na jumba la kifahali nakuja
 
Kama upo tayari kunipa kad yako ya benk niwe nachukua hela nikihitaj. pia uwe nausafiri na jumba la kifahali nakuja

lol,ngoja yule Raia Fulani akusikie?! kama hatakuandikia jarida kabisaa gazetini lol:A S 13:
 
Jamani wadada, huyu anatafuta mwanaume mwenzake ndo maana gia yenyewe dume!
 
Jamani warembo hapo ndio mwisho wa maneno msaidieni mwenzenu! Lizy, michel, ld, rose1980,danis, etc msaidieni mtoto wa mwanamke mwenzenu
 
Back
Top Bottom