Kama unaweza njoo

Kama unaweza njoo

konda naomba msaada kontena tafadhali
 
Tehet Mkuu naona umewapa na namba kabisa wachuchu wakufanye ATM, salimia GEITA hukoooooo hahahaha
 
Duh, natafuta mchumba lakini kwa kauli hii bora nibakie nungaiyembe!!
 
Jamani warembo hapo ndio mwisho wa maneno msaidieni mwenzenu! Lizy, michel, ld, rose1980,danis, etc msaidieni mtoto wa mwanamke mwenzenu

we leo umeshindwa kumsaidia.....?sisi wanawake wenzie ye ataka mwanaume?
 
Back
Top Bottom