Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Off-line is a good luxuryMitandao ya kijamii then Life liwe Bored, unajua binadamu hawezi kukaa bare bila kufanya kitu ndio maana wazee wazamani ambao hawakupata nafasi ya kuwa social network walikuwa wanasuka ukiri na Kofia za tunga just wasiwe Bored.
Portfolio | 2020
Ndio natumia mitandao ya kijamii kwa kulazimishwa kwani hujawai kuona mtu anafanya kazi lakini hiyo kazi haipendii?Ungefuta mitandao ya kijamii ila umetumia mtandao wa kijamii kufikisha huu ujumbe wako!!
Ningefuta;
- Kifo
- Maradhi
- Vita/Ugomvi.
kujamiiana
NikweliMitandao ya kijamii then Life liwe Bored, unajua binadamu hawezi kukaa bare bila kufanya kitu ndio maana wazee wazamani ambao hawakupata nafasi ya kuwa social network walikuwa wanasuka ukiri na Kofia za tunga just wasiwe Bored.
Portfolio | 2020
Alaf mbona Kama Wanawake weng humu ni single mothersSio vizur kumcheka single maza mkuu
We umejuaje?Alaf mbona Kama Wanawake weng humu ni single mothers
Michango yao tuu humu kama huo wako wa kuchukia NDOA unaleta Indication ya kwamba pengine ni Single Mothers
Nitaichukiaje ndoa kama sipo kwenye ndoa? Yatakuwa maajabu kuchukia kitu usichokifahamuMichango yao tuu humu kama huo wako wa kuchukia NDOA unaleta Indication ya kwamba pengine ni Single Mothers
Ndio,Sio Lazima Sasa kwamba inabidi uwepo kweny Ndoa ili uichukieNitaichukiaje ndoa kama sipo kwenye ndoa? Yatakuwa maajabu kuchukia kitu usichokifahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipo kwenye category yoyote hapo, nipo kwenye ndoa na ninaichukia kwasababu naifahamu vizuri, more than 12 years now. But ikitokea nikatoka itakuwa ahueni, nitafurahi kujumuika na masingle mazas wengine.Ndio,Sio Lazima Sasa kwamba inabidi uwepo kweny Ndoa ili uichukie
Labda umeikosa na Mda umeenda(hujaolewa) Au ulikua nayo ikapotea(single mother) zote ni Sababu za kuichukia
OoohkySipo kwenye category yoyote hapo, nipo kwenye ndoa na ninaichukia kwasababu naifahamu vizuri, more than 12 years now. But ikitokea nikatoka itakuwa ahueni, nitafurahi kujumuika na masingle mazas wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakula kwangu kivipi? Waache waingie.. ndoa sio mbaya kwa watu wote. Wengi tu wanaenjoy!Ooohky
Pole Aisee sasa kwann utake kutoka
What's going on ?
Usitoke Malaki ya watu wanataka kuingia humo ukitoka inawez kula kwako mazima