hayupo sahihi mkuu. kwani tausi wote wapo ikuluUpo sahihi mkuu! Siku nzima watu wanajadili vitu vyakuumiza vichwa,SI vibaya kurefresh kidogo mind zetu, kabla usingizi haujaja.
Ungekua Tausi hapa Bongo ungekua unaishi Ikulu huku ukilindwa Mkuu!
aliyechagua kuwa tausi amependa kuishi ikulu..aisee sijui anawaza niniKuna wengine wamechagua Nyau kwa masharti ya kuishi ushuani mkuu! Japo yapo mpaka mapaka Pori!
Mkuu usimshangae hilo swali mm niliwai ulizwa kwenye interviewUkisikia dishi kuyumba, ndo huku sasa,,,,,,,,,,,binadamu uliye sawa, kwa nini kujifananisha na mnyama (hayawani),,,,,,,,,wewe ni wa thamani mno,,,,,hakuna kiumbe sawa na mwanadam.........
Hahahaa! Haina kutongoza
ahahaha dahUkisikia dishi kuyumba, ndo huku sasa,,,,,,,,,,,binadamu uliye sawa, kwa nini kujifananisha na mnyama (hayawani),,,,,,,,,wewe ni wa thamani mno,,,,,hakuna kiumbe sawa na mwanadam.........
Wana wivu kinoma,halafu watemi sasa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Umeona eeh! Wewe jani likikugusa tu mtu anaanzisha mtiti!!!
njoo nikuchekeshe na kukutoa stressHebu muacheni mtoa mada,msipende kila mtu afikiri kama ninyi mnavyofikiri.
Mada nyingine tunacheka tu na kutoa stress,kama hii.
Binafsi nakubaliana na jamaa,na kama ningepata nafasi hiyo ningechagua kuwa ndege tena Tausi.
Najua ningeishi vizuri tena sehemu za kifahari,nisingechinjwa ila ningefanywa kama pambo la thamani.
Kwani vipi mkuu?Naona umenikomalia Tausi mimi sana.aliyechagua kuwa tausi amependa kuishi ikulu..aisee sijui anawaza nini
umenitoa kwenye pozi langu la kulaMimi ningechagua kuwa funza halafu ningekaa cho cha shimo ili niwe naangalia vinyero na papuchi za watu
Whaat! Ili uwe unavaliwa shingoni?Ningechagua kuwa Tai
Duh!Aiseee kuna watu wa ajabu sana!
Yani unahangaika kumjengea picha mtu usiyemjua,ili iweje?
Hata kama ningekuwa kama unavyodai,wewe ungepungukiwa nini?
Kazi kwelikweli.
Sijui watu mnapata wapi huu muda kwakweli!
pale kuna matunzo mazuri sana kwa tausiKwani vipi mkuu?Naona umenikomalia Tausi mimi sana.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Na mimi ndio nayapenda hayo matunzo,yani napenda first class treatment.... Kama malkia.pale kuna matunzo mazuri sana kwa tausi