Kama Uongozi ni Batili na Maamuzi Waliofanya pia ni Batili.

Kama Uongozi ni Batili na Maamuzi Waliofanya pia ni Batili.

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Hata nyaraka za Usajili walizosaini Hawa viongozi ni batili. Hii inapelekea kua hata wachezaji waliosajiliwa Kwa nyaraka za huyu bwana ni wachezaji batili.

Ki msingi mechi zozote walizocheza Hawa wachezaji feki waliopitia mikataba feki ya usajili ni mechi "hewani", wapinzani wa hizo mechi wanatakiwa kupata points.
 
Magoma.....!

Magoma Moto.....!

Vijana acheni kuwageuka Wazee wenu..!

Mpeni heshima yake huyu mzee..
 
Back
Top Bottom