Kama upo Dodoma tuanze hii biashara

October man

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
3,635
Reaction score
5,012
Nina idea ndogo tu ya biashara inayoweza kutuingizia 500,000/= kwa kuanza tu Kwa mwezi then hadi 800,000/= tukiiboresha mbeleni huko.

Mimi naishi DSM ila nasoma Dodoma, idea hii dhumuni langu kuifanya DSM ila nimestuka hata hapa Dodoma mbona naweza ifanya tu ila nimestuka muda ushakwenda week ijayo naondoka DSM likizo ila naweza weka mambo sawa before kuondoka DSM.

Dhumuni la uzi huu namtaka Business pertiner wa biashara hii biashara, sifa zake
1) Ajue kutengeneza juice
2) Muaminifu & Asiyekiuka makubaliano
3) Awe na uthubutu na malengo ya kufika mbali na kupanua project hii.
4) Aweze kusimamia biashara nikiwa sipo

Sio lazima awe na pesa njoo inbox nitakupa strategy nzima biashara itaendeshashwa vipi.

NB: muda ushaenda nipo bize na mitihani ya UE ila kuanzia Leo na kesho ijumaa imeachia kidogo, so Kama upo serious na mpango nicheki siku izi mbili tuyajenge.
 
Mkuu wa Dom utapiga mpunga wa kutosha,
Ukifungua katikati ya mji karibu na nyerere square..
 
Duu hakuna aliyejitokeza hii ni idea nina malengo nayo makubwa hadi mwezi wa 11 kumiliki duka letu.
 
Mimi sipo dodoma mkuu ila nina nia vipi hapo...!
 
Anakuja PM awe serious na aniwekee namba kabisa, awe anapatika tuseti mambo nitakuwa na bize ya mitiani na mpango mzima unavitu kazaa vya kutimiza, ukija pm nipe na namba
 
good idea kuna mdau mmoja humu alitakaga kufanya sijui kapotelea wap
 
Anakuja PM awe serious na aniwekee namba kabisa, awe anapatika tuseti mambo nitakuwa na bize ya mitiani na mpango mzima unavitu kazaa vya kutimiza, ukija pm nipe na namba

Njoo PM mkuu kama upo serious. Ova
 
Mr's Tunguli changamkia fursa hiyo, sio kila siku kwenda wana mizinga kuwadanganya wakupe pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…