Kama upo Rukwa, Mbeya, Iringa, Njombe na Ruvuma ni zamu yako kupata elimu kuhusu Forex.

Kama upo Rukwa, Mbeya, Iringa, Njombe na Ruvuma ni zamu yako kupata elimu kuhusu Forex.

Mr Suprize

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
869
Reaction score
961
Habari wakuu!
Baada ya kutoa training dar kuhusu forex , TMT (The Million Team) chini ya usimamizi wa boss ONTARIO sasa ipo mbioni kuanza kutoa mafunzo hayo kwa wale watu wa mikoani ,, mafunzo haya yanatarijiwa kuanza kutolewa kikanda. kwa upande wa nyanda za juu kusini nazungumzia mikoa ya Rukwa, Mbeya,Njombe na Ruvuma mafunzo hayo yatafanyika Mbeya Wenyewe wanaita Green City. Kigezo kikubwa wapatikane watu 100 ambao watakuwa tayari kwa training , mafunzo yatafanyika kwa wiki 1 na gharama ya mafunzo ni TSh 130,000/= tu. Kama upo tayari kuhudhuria mafunzo hayo Mbeya jiunge kwenye kundi la whatsapp kwa maelezo zaidi. link >>>> S.HIGHLAND ZONE FOREX

Kumbuka list inakaribia kukamilika wahi mapema..na watu wa dar pia mnakaribishwa
 
Habari wakuu!
Baada ya kutoa training dar kuhusu forex , TMT (The Million Team) chini ya usimamizi wa boss ONTARIO sasa ipo mbioni kuanza kutoa mafunzo hayo kwa wale watu wa mikoani ,, mafunzo haya yanatarijiwa kuanza kutolewa kikanda. kwa upande wa nyanda za juu kusini nazungumzia mikoa ya Rukwa, Mbeya,Njombe na Ruvuma mafunzo hayo yatafanyika Mbeya Wenyewe wanaita Green City. Kigezo kikubwa wapatikane watu 100 ambao watakuwa tayari kwa training , mafunzo yatafanyika kwa wiki 1 na gharama ya mafunzo ni TSh 130,000/= tu. Kama upo tayari kuhudhuria mafunzo hayo Mbeya jiunge kwenye kundi la whatsapp kwa maelezo zaidi. link >>>> S.HIGHLAND ZONE FOREX

Kumbuka list inakaribia kukamilika wahi mapema..na watu wa dar pia mnakaribishwa
Iringa lini?
 
Back
Top Bottom