Kama Urusi anapigana na Ukraine kwanini USA anahaha na maridhiano?

Kama Urusi anapigana na Ukraine kwanini USA anahaha na maridhiano?

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Watu wanchekesha sana, eti Urusi anapelekeshwa na kanchi kadogo ka Ukraine!

Huwa nasema siku zote kwamba Urusi anapigana na mataifa zaidi ya 30 pale Ukraine.

Ukraine ipo tu pale kama platform, kama uwanja wa vita baina ya NATO na Urusi.

Hata Trump alimwambia Zelensk kama sio USA basi vita ingeisha ndani ya wiki mbili!

Urusi anapigana na mataifa 30 ya NATO, hakuna nchi dunia hii inaweza pigana idadi kubwa kama hii. Hata USA asingeweza.
 
Watu wanchekesha sana, eti Urusi anapelekeshwa na kanchi kadogo ka Ukraine!

Huwa nasema siku zote kwamba Urusi anapigana na mataifa zaidi ya 30 pale Ukraine.

Ukraine ipo tu pale kama platform, kama uwanja wa vita baina ya NATO na Urusi.

Hata Trump alimwambia Zelensk kama sio USA basi vita ingeisha ndani ya wiki mbili!

Urusi anapigana na mataifa 30 ya NATO, hakuna nchi dunia hii inaweza pigana idadi kubwa kama hii. Hata USA asingeweza.
Trump kawaumbuwa wale wote waliokuwa wanamshabikia Zele
 
Duh Urusi mwenyewe anajua anapigana na mataifa zaidi ya 30 au tumpenyeze hii taarifa toka kwa mwanetu Wa Manzese TipTop?
 
Ni kwa sababu malengo ya kupigana na jeshi la mtu mmoja (Putin) yalishindwa vibaya! Na badala yake wameingia tu hasara kubwa.
Hakuna vita vinavyopiganwa na mtu mmoja,Russia inapigana kwa msaada wa Iran na Korea kasikazini ambayo inapigana vita vya ana kwa ana kwa kutumia askari wake elfu10.
 
Vita vya Russia na Ukraine havina faida yoyote zaidi ya kusababisha athari za kiuchumi duniani ndio maana Trump ana taka viishe haraka na hakuna anaepigana vita bure kwa kulijua hilo Trump kawahi kwenye madini ya Ukraine ili afidie hasara anazo zipata kutokana na kuisaidia Ukraine.
 
Vita vya Russia na Ukraine havina faida yoyote zaidi ya kusababisha athari za kiuchumi duniani ndio maana Trump ana taka viishe haraka na hakuna anaepigana vita bure kwa kulijua hilo Trump kawahi kwenye madini ya Ukraine ili afidie hasara anazo zipata kutokana na kuisaidia Ukraine.
Vita vya Urusi na Ukraine vina faida kwa usalama wa Urusi na warusi kwa vizazi vya Sasa na vizazi vijavyo.
Wewe mndengereko huwezi kua na akili kuwashinda wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama vya urusi.nasema huwezi.
Warusi ni Bora uchumi wao uyumbe kuliko vitisho vya usalama wao.
 
Haya urusi kawapga marekani na ulaya nadhan umeridhika sasa. Vp putin wkt anaingia ukraine alisema ndan ya saa 72 atakuwa kiev na vita itakuwa imeisha, na akaongeza yeyote atakayethubutu msaidia ukraine atapgwa kipgo kikali vp ukraine anasaidiwa au hasaidiwi? Putin amerusha hata jiwe hapo ulaya ukiitoa ukraine.
 
Niliwai toa andiko kuwa Ulaya na Marekani wapo kwenye kujitafuta kwasasa ndio wanataka Vita isimame ili Wqjipange Upya !!!!!

kwasasa Russia anawazoom Ukraine yote kila wakipanga Russia anabomoa zana zao !!!!!

ndio unaona Tramp anacheza na Akili za Putin kosa kubwa ikiwa Putin atakubali kusimamisha Vita !!!!

itakuwa ni kosa kubwa la kivita..

Wazungu wa ulaya awajachoka kama watu wanavozani !!

lkn kwasasa Wamebanwa namna ya kusafirisha mizigo yao ya silaha lkn Wanaitaka hiii vita pamoja na Tramp lao moja!!!

.. unachokiona kwasasa juu ya kutafuta Aman ni kiini macho tu..!!!!
 
Niliwai toa andiko kuwa Ulaya na Marekani wapo kwenye kujitafuta kwasasa ndio wanataka Vita isimame ili Wqjipange Upya !!!!!

kwasasa Russia anawazoom Ukraine yote kila wakipanga Russia anabomoa zana zao !!!!!

ndio unaona Tramp anacheza na Akili za Putin kosa kubwa ikiwa Putin atakubali kusimamisha Vita !!!!

itakuwa ni kosa kubwa la kivita..

Wazungu wa ulaya awajachoka kama watu wanavozani !!

lkn kwasasa Wamebanwa namna ya kusafirisha mizigo yao ya silaha lkn Wanaitaka hiii vita pamoja na Tramp lao moja!!!

.. unachokiona kwasasa juu ya kutafuta Aman ni kiini macho tu..!!!!
UKo sahihi
 
Gaza imepigana zaid ya hizo nchi 30, Marekani kisha filisika hana tena hela ya vita ndo unaona ana haha na kubadilisha mfumo kila kona.
 
Back
Top Bottom