Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mlikuwa mnacheza na wachovu sana, wale USM ni vile mmeliwa 2-1.
Mngekuwa huku kwenye championship mkapangiwa na Wydad ingekuwaje maana nimeziona goli 4 za wazi mwarabu kakukosa leo.
Tengeneza timu, ulikuwa na timu ya kawaida sana isipokuwa aina ya timu ulizokuwa unacheza nazo ni mbovu mnoooo.
Mngekuwa huku kwenye championship mkapangiwa na Wydad ingekuwaje maana nimeziona goli 4 za wazi mwarabu kakukosa leo.
Tengeneza timu, ulikuwa na timu ya kawaida sana isipokuwa aina ya timu ulizokuwa unacheza nazo ni mbovu mnoooo.