GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Acha uongo!Inasemekana taa zinanguvu sanaa yaani tukikadiria mechi za usiku ukitoa dk 90 ukiongeza na dk za maandalizi ya uwanja mpaka mechi inaisha tufanye masaa 5 inaweza kugharimu hata zaidi ya milioni 20 Kwa gharama ya unit za umeme kwa taa zote hizo
Ndio maana wanaziwasha nusu nusu Kwa kukadiria gharama isiwe kubwa,
All in all uwanja unatakiwa marekebisho, mageti yaongezwe na vitu vingine Kama hivyo taa za uwanja na miundo mbinu yote ya uwanja
Uwanja unaonekana mkubwa tu lakini hauna akili
Acha uongo!
Wa kwako ni upi..!? Au ndiyo umemaliza kuanza na INASEMEKANA!??Kaa na ukweli wako
Ukisikia inasemekana basi kaa kitalaamu....Inasemekana taa zinanguvu sanaa yaani tukikadiria mechi za usiku ukitoa dk 90 ukiongeza na dk za maandalizi ya uwanja mpaka mechi inaisha tufanye masaa 5 inaweza kugharimu hata zaidi ya milioni 20 Kwa gharama ya unit za umeme kwa taa zote hizo
Ndio maana wanaziwasha nusu nusu Kwa kukadiria gharama isiwe kubwa,
All in all uwanja unatakiwa marekebisho, mageti yaongezwe na vitu vingine Kama hivyo taa za uwanja na miundo mbinu yote ya uwanja
Uwanja unaonekana mkubwa tu lakini hauna akili
Bilioni 31 ni wizi. Mama yupoyupo tu watu wananyoosha.Yaani Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bwana Said Yakubu ni kweli hujui kwanini Taa hizo Nusu ndiyo huwashwa kama ulivyotanabaisha katika Mkutano wako na Waandishi wa Habari leo?
Sasa Mimi GENTAMYCINE kabla sijakupa Jibu kwanini Taa ziko 248 kwa Ujumla wake pale Benjamin Mkapa Stadium na zinazowaka na kutumika ni Nusu yake ( yaani 124 ) tu nakuomba Kwanza Kesho au Siku yoyote Kaangalie kama hata hizo Taa 124 zisizowashwa zipo.
Cheza na Wote, ila siyo Watanzania!!!
Figure ya B30 imekaa kimkakati sana.Bilioni 30 ukarabati?
Huo uwanja wapewe Azam ...na kila mwaka wanakusanya pesa zaidi ya bilioni moja?...
Walizokuwa wanakusanya walikuwa wanapeleka wapi??
UongoInasemekana taa zinanguvu sanaa yaani tukikadiria mechi za usiku ukitoa dk 90 ukiongeza na dk za maandalizi ya uwanja mpaka mechi inaisha tufanye masaa 5 inaweza kugharimu hata zaidi ya milioni 20 Kwa gharama ya unit za umeme kwa taa zote hizo
Ndio maana wanaziwasha nusu nusu Kwa kukadiria gharama isiwe kubwa,
All in all uwanja unatakiwa marekebisho, mageti yaongezwe na vitu vingine Kama hivyo taa za uwanja na miundo mbinu yote ya uwanja
Uwanja unaonekana mkubwa tu lakini hauna akili