GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bwana Said Yakubu ni kweli hujui kwanini Taa hizo Nusu ndiyo huwashwa kama ulivyotanabaisha katika Mkutano wako na Waandishi wa Habari leo?
Sasa Mimi GENTAMYCINE kabla sijakupa Jibu kwanini Taa ziko 248 kwa Ujumla wake pale Benjamin Mkapa Stadium na zinazowaka na kutumika ni Nusu yake ( yaani 124 ) tu nakuomba Kwanza Kesho au Siku yoyote Kaangalie kama hata hizo Taa 124 zisizowashwa zipo.
Cheza na Wote, ila siyo Watanzania!!!
Sasa Mimi GENTAMYCINE kabla sijakupa Jibu kwanini Taa ziko 248 kwa Ujumla wake pale Benjamin Mkapa Stadium na zinazowaka na kutumika ni Nusu yake ( yaani 124 ) tu nakuomba Kwanza Kesho au Siku yoyote Kaangalie kama hata hizo Taa 124 zisizowashwa zipo.
Cheza na Wote, ila siyo Watanzania!!!