Kama viongozi wa mikoa yote wa chama cha chadema wamehudhuria mkutano wa Mbowe, na Lissu anazurura peke yake, uchaguzi umekwisha!

Kama viongozi wa mikoa yote wa chama cha chadema wamehudhuria mkutano wa Mbowe, na Lissu anazurura peke yake, uchaguzi umekwisha!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nimeona viongozi wote wa mikoa wa chama cha demokrasia na maendeleo wamepiga kambi kwa Mbowe wakijiapiza kumuunga mkono, naona Mbowe kafunga hesabu, uchaguzi umekwisha.

Lissu anazurura peke yake tu na makaratasi mkononi
 
Ccm
images (1).jpeg
 
Ni wazi Lissu hana base kubwa ya uhakika ndani ya chama.

Lissu anaweza kuwa na mashabiki wengi nje ya chama ikiwemo hapa JF.

Lissu ni shujaa wa kukurupuka week 3 nyuma alikuwa anataka nafasi ya Makamu ghafla bila tafakari anagombea nafasi ya Mwenyekiti.

Lissu zaidi ya kupigwa risasi 16 hana maajabu yoyote.
 
Ni wazi Lissu hana base kubwa ya uhakika ndani ya chama.

Lissu anaweza kuwa na mashabiki wengi nje ya chama ikiwemo hapa JF.

Lissu ni shujaa wa kukurupuka week 3 nyuma alikuwa anataka nafasi ya Makamu ghafla bila tafakari anagombea nafasi ya Mwenyekiti.

Lissu zaidi ya kupigwa risasi 16 hana maajabu yoyote.
Kweli kabisa
 
Mbowe ataliwa hela zake tu

Mfumo umeshaamua TAL aongoze Chadema Ili kulituliza Moja Takatifu La Mitume 😂😂😂

Chinembe mambo ya Mjini ni tofauti sana na huko kwenu migombani, huku Mfumo unakwenda na matakwa ya dunia

Siasa ni Sayansi

Ligi ya Wakwe 😂😂😂😂
 
Ni wazi Lissu hana base kubwa ya uhakika ndani ya chama.

Lissu anaweza kuwa na mashabiki wengi nje ya chama ikiwemo hapa JF.

Lissu ni shujaa wa kukurupuka week 3 nyuma alikuwa anataka nafasi ya Makamu ghafla bila tafakari anagombea nafasi ya Mwenyekiti.

Lissu zaidi ya kupigwa risasi 16 hana maajabu yoyote.
Lucas Mwashambwa atasema wewe ni chawa wa Mboe!
 
Wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA wako 1,200 nadhani ni mapema kuzungumza chochote
Kama hukuwa nao wakati wanaomba ujumbe wa mkutano mkuu, ulikuwa unaponda raha ubelgiji, hawatakutambua
 
Mbowe ataliwa hela zake tu

Mfumo umeshaamua TAL aongoze Chadema Ili kulituliza Moja Takatifu La Mitume 😂😂😂

Chinembe mambo ya Mjini ni tofauti sana na huko kwenu migombani, huku Mfumo unakwenda na matakwa ya dunia

Siasa ni Sayansi

Ligi ya Wakwe 😂😂😂😂
Kisayansi Mbowe kafunga hesabu
 
Imeshaamuliwa na Kanisa 😂😂
Kwamba katoliki wameteka CCM, sasa wanataka kuiteka Chadema kwa sababu ilianzishwa na watu wenye asili ya KKKT? Na kwamba Lissu ni katoliki? Wamempa na hela za kampeni? Vyama vyote viwe pro Vatican? Basi ndio maana Kitima na Lissu wako mguu kwa mguu, na kanisa like bize kumtukana Samia, kumbe udini
 
Ni wazi Lissu hana base kubwa ya uhakika ndani ya chama.

Lissu anaweza kuwa na mashabiki wengi nje ya chama ikiwemo hapa JF.

Lissu ni shujaa wa kukurupuka week 3 nyuma alikuwa anataka nafasi ya Makamu ghafla bila tafakari anagombea nafasi ya Mwenyekiti.

Lissu zaidi ya kupigwa risasi 16 hana maajabu yoyote.
Dah, chadema mko vizuri kukataa watu!!..mara!?
 
Kwamba katoliki wameteka CCM, sasa wanataka kuiteka Chadema kwa sababu ilianzishwa na watu wenye asili ya KKKT? Na kwamba Lissu ni katoliki? Wamempa na hela za kampeni? Vyama vyote viwe pro Vatican? Basi ndio maana Kitima na Lissu wako mguu kwa mguu, na kanisa like bize kumtukana Samia, kumbe udini
Papa kawakataza kujihusisha na siasa,cuf ilipokua juu hawakulala madhabahuni,wakihofia ingebeba nchi halafu mirija yao hazina ingekuaje!?
 
Kwamba katoliki wameteka CCM, sasa wanataka kuiteka Chadema kwa sababu ilianzishwa na watu wenye asili ya KKKT? Na kwamba Lissu ni katoliki? Wamempa na hela za kampeni? Vyama vyote viwe pro Vatican? Basi ndio maana Kitima na Lissu wako mguu kwa mguu, na kanisa like bize kumtukana Samia, kumbe udini
Mbona unakua waste sperm?.
Kuna siku kanisa limemtukana Samia
 
Ndio, kama hujui hilo basi kichwani huna ubongo, una samadi
Ina maana kweli wewe ni think Tank ya nchi unaweza kuestablish with u doubt fact kwamba siku Fulani Kanisa kupitia mtu Fulani lilitoa matusi yafuatayo kwa Rais?

Kama huwezi kufanya hivyo you are a waste sperm. The use of condom of contraception would have avoid your existence today.
 
Back
Top Bottom