Kama vipaji vya kutangaza mpira azam tv mnajua kufanya vetting.

Kama vipaji vya kutangaza mpira azam tv mnajua kufanya vetting.

pascal kabombe, hashim ibwe, james samwel na ahmed abdallah walikuwa recruited kupitia shindano la kusaka vipaji waliloandaa wao wenyewe azamtv kati ya mwaka 2014 au 2015.baada ya hapo uongozi wa azam tv ukawapa ajira moja kwa moja.

ramadhan ngoda na baraka mpenja hawa waliajiriwa na azam tv baada tu ya kuhitimu masomo yao udsm.
Thanks in advance mkuu ila hao watu ni balaa utafikili walizaliwa na mpira. Alafu uyo ramadhani ngoda ndo nilikuwae natafuta jina lake. Kama kuna mtu anajucha vipaji pale azam tv basi apewe heshima take.
 
pascal kabombe, hashim ibwe, james samwel na ahmed abdallah walikuwa recruited kupitia shindano la kusaka vipaji waliloandaa wao wenyewe azamtv kati ya mwaka 2014 au 2015.baada ya hapo uongozi wa azam tv ukawapa ajira moja kwa moja.

ramadhan ngoda na baraka mpenja hawa waliajiriwa na azam tv baada tu ya kuhitimu masomo yao udsm.
Mkuu kama upo kitengoni?ila anyway yule Amed abdalah nikipenzi cha wadada.
 
Binafsi wananifurahisha wanavyotamka timu ya wananchi mara kwa mara wakimaanisha Yanga afrika,maana kuna kijitimu kinataka kuliiba hili jina
 
Mkuu kama upo kitengoni?ila anyway yule Amed abdalah nikipenzi cha wadada.
hapana mkuu, sipo kitengoni.
mimi ni shabiki tu wa hao watangazaji kama wewe.

huwa nawafatilia sana kwenye mitandao ya kijamii, navutiwa sana na utangazaji wao.
 
ha ha utangazi goli kwangu la wakati wote ni ile baraka mpenja anatamgaza goli la mbao dhidi ya yanga
"emanuel vyenkule anamuwekea habibu haji kiombo anamwambia chukua hio mwanangu Habibu haji kyoomboooo! happy new year happy new year wasukuma wanasema waveja kulumba waveja kulumba"
ha ha iliku raha sana siku ile
Hahahaa,, hili goli lilikuwa tamu sana na mtangazaji alinogesha sana kwa namna alivyotangaza,,, nakumbuka ilikuwa 31st Dec 2017 Ndala akifa goli 2 mbele ya Mbao
 
wapo vizuri azam sasa hivi ila mwwnzoni walikua wanatia aibi sema kwasabbu ndio tv pekee iliyosajiriwa kwa ajiri ya michezo ndio maana wanakaza wafike mbali
 
Hashim Ibwe, Baraka Mpenja, Pascal Kabombe huwa wananifutia sana,kwa kifupi watangazaji wao wa soka wako vizuri mno.
 
Hahahaa,, hili goli lilikuwa tamu sana na mtangazaji alinogesha sana kwa namna alivyotangaza,,, nakumbuka ilikuwa 31st Dec 2017 Ndala akifa goli 2 mbele ya Mbao
Hii game niliitizama live uwanja wa ccm kirumba mwanza, aisee nilifurahi sana.
 
Nikili wazi kabisa mm ni mfatiliaji wa mechi wanazolusha azam tv iwe ligi ya spain, ligi kuu tanzania bara au mechi za CAF kiukweli kabisa wamejaliwa watangazi wazuri wa mpira.

Mwanzoni wakati wanaanza walikuwa na baruani muhuza huyu alitokea star tv na sasa hv ni mkurugenzi mkuu wa michezo pale azam tv. Nikili kabisa kwamba sasa hivi jamaa kawafunza watu kutangaza mpira japo kuwa yeye kumsikia anatangaza mpira na charles illay ni mala chache sana.

Kuna mutu anaitwa barak mpenja a.k.a sauti ya radi, hashimu inbwe, Kuna mwingine anajiita Mtanzania na mwana afrika mashariki, na kuna uyu katangaza mechi ya mwadui na yanga juzi juzi na jumapili katangaza mechi ya kagera sukari na yanga aisee yule jamaa ni kiboko. Mpenja anajua historia ya kila mchezaji na kila timu ata iwe ya dalaja la kumi.

Mungu ibariki azamu tv kwa kutuba burudani shadida maana afrika Mashariki na kati sijui kama kuna kituo cha tv kama azam.
Siku nyingine jitahidi kuandika basi
 
Nikili wazi kabisa mm ni mfatiliaji wa mechi wanazolusha azam tv iwe ligi ya spain, ligi kuu tanzania bara au mechi za CAF kiukweli kabisa wamejaliwa watangazi wazuri wa mpira.

Mwanzoni wakati wanaanza walikuwa na baruani muhuza huyu alitokea star tv na sasa hv ni mkurugenzi mkuu wa michezo pale azam tv. Nikili kabisa kwamba sasa hivi jamaa kawafunza watu kutangaza mpira japo kuwa yeye kumsikia anatangaza mpira na charles illay ni mala chache sana.

Kuna mutu anaitwa barak mpenja a.k.a sauti ya radi, hashimu inbwe, Kuna mwingine anajiita Mtanzania na mwana afrika mashariki, na kuna uyu katangaza mechi ya mwadui na yanga juzi juzi na jumapili katangaza mechi ya kagera sukari na yanga aisee yule jamaa ni kiboko. Mpenja anajua historia ya kila mchezaji na kila timu ata iwe ya dalaja la kumi.

Mungu ibariki azamu tv kwa kutuba burudani shadida maana afrika Mashariki na kati sijui kama kuna kituo cha tv kama azam.
Andika kwa ufasaha,lafudhi gani hiyo au umetoka kanda ya ziwa
 
Pale Azam labda balwani tu hawa waking mpenja wamezidisha mahaba na timu
 
Kaka upoo, umepotea mechi yetu na kagera hukutuletea updates, Ila kesho mkicheza kimazoea mnapigwa za uso. Mwambie MK 14 kesho asilembe wala kuficha jicho maana jamaa nao wako njema hatari
ulichokisema ni kweli kabisa wale wajinga wakiendelea kulemba kama vile wanacheza na mafaluhande baada ya mechi tutapoteana
 
Back
Top Bottom