Kama Vipers wasingekuwepo kwenye lile kundi Simba angekuwa na pointi ngapi?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Baada ya kufanya uchambuzi wa mechi za CAF zinazoendelea nimekuja kupata swali hili

Japo kolo anacheza CAF champions ( wanasema Kuna ugumu) lkn sio kigezo Cha timu kubwa kupata point zote Kwa timu Moja ( kibonde) magoal yenyew Sasa .....

Mfano
Al hilal kapata point Kwa timu tofauti
Raja
Esperence nk

Swali:
Je! Kama vipers wasinge kuwepo kwenye lile kundi simba angekua na point ngap??
 
Hata Sie Unaotuuliza Hatujui....! Huwezi Kujua labda Badala yake pengine Angekuwepo 'Zalani' ...! Maana Ya Mungu Mengi..!

Ila Huyu jamaa haya 'Machejo' yake Kiboko...! Kiuno Binuuuuuu
Zalan. Angewafikisha Bali .....coz alikuwa anapenda mpira wa Kasi ......
 
Ukishatumia neno ange, ninge, inge, tunge...huo mjadala hauna maana na ni ujinga. Masuala ya kupiga ramli waachie walozi..
Hapana Mzee ujitafakari

Weakness

Opportunity

Strength
 
Toa viper weka Alhal au Mamelod bado Mnyama angetoboa hatajaanza makundi magumu leo
 
Je kama yanga wasingeanza na zalan fc kwenye champions league wangekuwa wapi mda huu kumbuka vipers kamtoa mazembe.
 
Huu ujuha huu? Kwanini mnakuwa na negative thinking? Unawaza kinyumenyume sijui kwanini. Mbona hujawaza iwapo isingekuwa Zalan fc kama Yanga ingefika hapo.
 
Yanga asinge pangwa na al hilal angebaki klabu bingwa
ni vile tu alipangwa na al hilal

Mijitu mingine bana halijui hata mambo ya mpira linaleta ushabiki
ni bora ukae kimya na sio kuleta nyuzi zenye kinyaa
na hii ndio sababu yanga mnaonekanaga hamjielewi
usifanye na wana yanga wengine waonekane wehu kama wew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…