Kama Vipers wasingekuwepo kwenye lile kundi Simba angekuwa na pointi ngapi?

Je kama yanga wasingeanza na zalan fc kwenye champions league wangekuwa wapi mda huu kumbuka vipers kamtoa mazembe.
Tupo na kesi ya Simba...siyo yanga
 
Huu ujuha huu? Kwanini mnakuwa na negative thinking? Unawaza kinyumenyume sijui kwanini. Mbona hujawaza iwapo isingekuwa Zalan fc kama Yanga ingefika hapo.
Hapana mkuu...hii ni hatua ya makundi
 
Nadhani umeona moto wa Al hilal pale group la kifo

Al hilal anangoza group mbele ya mamelod

Al ahly

Cotton sports
 
Nadhani umeona moto wa Al hilal pale group la kifo

Al hilal anangoza group mbele ya mamelod

Al ahly

Cotton sports
Kwa hiyo baada ya kuuona moto wa Al Hilal umefurahi sana kwa kuwa aliifunga na kuifurusha utopolo kwenye Champions league?

Unamwita kibonde vipers wakati aliwachapa utopolo united kwenye siku zenu goli 2 bila.

Very foolish premises!
 
1. Haikuwa mechi ya kiushindani hivyo hatuku concentrate sana


2. Ilikua na Kikosi kikali sio kama hiki Cha butua butua- mlichokutana nacho
Maana yake hata mazembe mmeikuta dhohofu, tofauti na hapo hamna uwezo wa kuwafunga.
 
Hapana Mzee ujitafakari

Weakness

Opportunity

Strength
Yaani hayo matumizi ya inge...yanaonesha kuwa wewe ni mtu wa kubahatisha mambo, hujiamini. Ukishapoteza ndiyo imekwisha hiyo. Hapo ni kujipanga upya ili usiyarejee makosa yale yale yaliyokukwamisha.
 
Hawa ndo wale wanajiuliza asingezaliwa na jinsia aliyo nayo ingekuwaje.
Jambo limeshakuwa historia isiyobadilika ila ubongo unalazimisha kulibadili.
 
Hawa ndo wale wanajiuliza asingezaliwa na jinsia aliyo nayo ingekuwaje.
Jambo limeshakuwa historia isiyobadilika ila ubongo unalazimisha kulibadili.
Tatizo tunawaomea huruma. .....then tunataka mkaze
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…