Kama vitendo vya utekaji havina baraka za Rais Samia, basi asimame na kuruhusu wananchi kujilinda dhidi ya wahalifu

Kama vitendo vya utekaji havina baraka za Rais Samia, basi asimame na kuruhusu wananchi kujilinda dhidi ya wahalifu

And They do it purposely , mtanisamehe…

mimi namiliki gun since nipo Tanzania kwa miaka 7 sasa, sijawahi kuitumia hata siku moja, ila I swear to my ass, a day narudi Tanzania na wakitokea watu kama hao kunivamia pasipo kuwa na maelezo ya kimsingi….. hell on earth na
Bila ya kusita nitafumua ubongo wao…..

kama wapo watatu basi either wanne sote tutoke maiti au wao wenyewe watatu waondoke wakiwa maiti……Sitosita kutumia gun hata siku moja kwenye mazingira hayo. I know all ethics za kutumia gun and i am well trained …. But at this point , … no turning back

Hakuna atakaeweza kuniingiza kwenye gari at any how . Huwa nikitembeaga nakuwa attentively with loaded gun…..

mtu kama mim at age of 36. Have nothing to lose, two kids wananitosha sina mpango zaid ya hapo…,, na kids nimewawekea continuity ya maisha yao sina cha kupoteza, but those riots ipo siku watajichanganya.

Nadhani mnakumbuka ya Hamza, sio kila mtu ni mjinga na sio kila mtu ana shobo na haya maisha…. Wengine tulishaelewq maisha ya duniani ni surely temporary na no one is safe….. no one will get out of this world alive… a thin layer that differentiate us is an abstract of time concept , only then … they better Watch their steps …..

Sasa nyie watekaji endeleeni, ipo siku mtaingia cha kike tutaongea lugha moja kama mlivoongea lugha moja na Hamza
Longing for that demonstration
 
Watekaji wana nguvu kubwa ajabu. Nani yupo nyuma yao?
Hili ni kundi maalumu lipo chini ya Samia, that is why alisema kifo ni kifo…… angekufa Wanu au Abdul, she would never say that ….. she would grieve as hell
 
Zamani kulikuwa na vijana wanajiita mayoo ilimaanisha: 'Mad young offenders' hao vijana walikuwa ni hatari ikaja kuenea dunia nzima, hawa vijana walikufa sana, walipukutika kama mbwa

Hata hawa watapukutika kama mbwa
 
Kuna makosa kidogo yalifanyika katika Uchaguzi wa wiki iliyopita, lakini hakuna kurudi nyuma.
Kwanza utaona,kila tarehe ya Uchaguzi Mkuu inapokaribia, utaona ANC wanakukumbusha kwamba hawataki CCM iondolewe madarakani.
Halafu jana nimemsikia Mkuu wa Polisi Unguja anasema anataka kufanya sensa ya wahalifu. Ati atapita nyumba kwa nyumba kuwatafuta wahalifu.
Kabla ya hapo,siku chache xilozopita,IGP Wambura alikuwa anaongea hivyo hivyo,kwamba Polisi Kata,tuongeza urafiki na rais.
Urafiki wa raia na Polisi,that is the last thing we want,kura za maoni,watu kuchongeana,fitina,majungu.
 
Hili ni kundi maalumu lipo chini ya Samia, that is why alisema kifo ni kifo…… angekufa Wanu au Abdul, she would never say that ….. she would grieve as hell
Yeye ndio mfariji mkuu, ataunga hayo mambo ya utekaji?
 
Huyu mgeni wala siyo wa kumsuburi. Ni muda sasa imefika wa kila mtanganyika kuchukua hatua za kujilinda endapo maisha yake takuwa hatarini.
 
Yeye ndio mfariji mkuu, ataunga hayo mambo ya utekaji?
Hajawahi kuwa mfariji ! Tatizo lenu watanzania ni low minded sana hamko na intelligence……ile mnayopata kwa wazazi wenu… ile ya kunyonya two years…kile kipindi cha miaka 2 kunyonya ni muhimu sana na ndio kipindi pekee unacho build intelligence ya binadamu…… watanzania wengi hamjanyonya two years consecutively na baadhi yenu mmezaliwa njiti au kubemendwa that is why watanzania wengi intelligence ipo chini sana

That is why hata kwenye critical issue za nchi watu wataleta siasa na uchawa… and for as long as jambo haliwahusu…. Ndio kabisa


Wakati ngosha anawapiga spana kina lissu…. Watanzania waliona kina lissu ni wakorofi…. Alipoanza kuwapiga spana hadi CCM ndio mkaanza kustuka…. Yupo yule waziri alitolewa bastola na kuanza kulia lia… oooh nimekipigania chama na blah blah nyingi….. hi ni ishara low inteligence kwa watizedi

Ameuliwa kibao Kila mtu keshasahau, lakini kwenye familia ya kibao kuna scar halitopona
Kauliwa ben tume kaa kando
soka kapotea tupo kando

Lisu was almost dead tupo kando
……,, you name the list

How long shall they kill our prophets while we stand aside and Watch ….. Bmarley

Jeshi la polisi linaendesha ulinzi wetu kama siasa na wao kuna asilimia kubwa ni wahusika
Polisi watanzania ni ma gang , wahuni, wezi na wavuta bangi most of them… wezi wakubwa wanashirikiana na hao wao

Reform kwenye jeshi la polisi ni LAZIMA,
I wish nchi iwe chini ya Jeshi kwanza tujenge heshima kama Taifa

CCM Imeshindwa na Jeshi la Polisi limeshindwa

Jeshi la Wananchi ndio the only Hope for now , otherwise tunapoelekea Amani itatoweka , amani ikipotea kuirudisha ni process kama ilivyo kuondoa amani ni process ambayo CCM na jeshi la polisi na kitengo cha utekaji kinafanya

Mkuu wa nchi anasema kifo ni kifo, yet kuna kiazi mmoja hana future anakwambia yeye ni mfariji

Low intelligence
 
Huyu mgeni wala siyo wa kumsuburi. Ni muda sasa imefika wa kila mtanganyika kuchukua hatua za kujilinda endapo maisha yake takuwa hatarini.
Mimi nawashauri Mlio huko msitembee kizembe . Kama unaouwezo wa kumiliki Chuma, Please go Tanganyika Army …. They have cheap guns hadi za 1.5M nyingi za pale zinatoka Russia

Kuna wale wengine wapo pale STEsheni Just oposite na TRA. But they are bit expensive zao zinaanzia 3 M …… ukijipanga hushindwi kununua gun
Pale wanauza hadi pepper spray hizi ni elf 10 tu make sure you have….. unawapulizia machoni unasepa

Wana Army knives pia nzuri tu just for 20 elfu … make sure you have

Nadhan mmemuona Nondo….. usipojîkaza jamaa wanakuua kweli halafu ni kama hawana sense of humour, Yani wanakupiga bila huruma kweli kweli
Ni kama vichaa
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom