Kama Vyama vya Upinzani kazi yao ni kumsifia na kumuogopa Rais akiwa madarakani na kumshambulia akishakufa, vifutwe tu havitusaidii chochote!

Kama Vyama vya Upinzani kazi yao ni kumsifia na kumuogopa Rais akiwa madarakani na kumshambulia akishakufa, vifutwe tu havitusaidii chochote!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege kumuogopa Rais kwa miaka 7 mkiwa mmeufyata halafu leo amekufa ndio mnatumia Mikutano ya hadhara kumsimanga, kumkejeli na kumtukana

Popote duniani silaha kuu ya Chama cha Siasa ni Ujasiri siyo Uoga, Umbuni na Unguchiro

Mnasema ilikuwa miaka 7 ya Giza ninyi mlikuwa wapi kutetea ipatikane Nuru

Mbona mzee Membe alikuwa Jasiri kujitetea katiba mbele ya Magufuli Bila Uoga

Tuwe wakweli Tanzania hatuna Upinzani na Watoto wetu wanapoteza muda bure kushabikia huu upuuzi

Huwezi Kuwa na Wapinzani legelege wanaoshindwa kuisema Serikal kwa wakati sahihi wanamsubiri Kiongozi astaafu au afe ndio waanze kumshambulia

RIP Magufuli

RIP Maalim Seif
 
Atakuambia kamaunampenda nenda ukazikwenae utafikiri yeye ailkuwa hampendi mamaake.
 
Wengi wetu tushavifuta. Tumegundua kwann wazee wetu walijitoa ufahamu wakabaki na CCM tu. Jamaa wajinga sana. Acha tupigie kura ccm au tusipige kabisa. Hao wengine wanatuchosha kufikiria.
Kuna mbwiga mmoja Ndege ziliponunuliwa alikuwa anajiposti kila anapokwenda Ujiji akiwa Ndani ya Bombardier

Leo ndio kajua zilikuwa za mtumba

Waswahili wa Kigoma wanafiki sana
 
Wapinzani wa kweli wa CCM walikuwa ni marehemu Kighoma Malima, na hayati mch Mtikila.

Hawa wengine wapo huko upinzani kuihadaa dunia ili nchi iweze kupata misaada na pesa za ufadhili kutoka dunia ya kwanza.
 
Potelea mbali!

Upinzani wa Mchongo
Whatever upinzani, ngoja Magufuli afe kama alivyowaua binadamu wasio na hatia. hata wangelikuwa na hatia, kuna mahakama na taratibu zingine tulizojiwekea kwa kukubaliana
 
Whatever upinzani, ngoja Magufuli afe kama alivyowaua binadamu wasio na hatia. hata wangelikuwa na hatia, kuna mahakama na taratibu zingine tulizojiwekea kwa kukubaliana
Lema ameomba msaada kwa Komredi Chongolo!
 
Kuna mbwiga mmoja Ndege ziliponunuliwa alikuwa anajiposti kila anapokwenda Ujiji akiwa Ndani ya Bombardier

Leo ndio kajua zilikuwa za mtumba

Waswahili wa Kigoma wanafiki sana
Hawa wapinzani butu wengi walikuwa wamejificha kwenye kimvuli cha marufuku ya mikutano.

Sasa mama kafyekelea mbali kile kichaka cha marufuku. Matokeo yake ndo haya tunaona watu wamekata ticket kutoka Ulaya hadi Tanzania kuja kupambana na marehemu. Wengine ndo hao wanaolala usiku wakiwaza namna watakavyokuja kuwadanganya watanzania kuhusu ndege nk.

Hakuna mpinzani anaestick kwenye sera za chama chake. Wote wako busy na marehemu, ndege nk.
 
Back
Top Bottom