johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hata kweli ya Chadema huijui utaishia kukimbizana tu hapo KIA na huyo MkimbiziKweli ya johnthebaptist siitaki maana haina ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kweli ya Chadema huijui utaishia kukimbizana tu hapo KIA na huyo MkimbiziKweli ya johnthebaptist siitaki maana haina ukweli
Wamepiga kelele au wameunga juhudi?Mbona wapinzani wamepiga Sana kelele Sana tangu magufuri kaingia madarakani na kuanza kufilisi wafanyabiashara
kama ulivyokimbizana na jimwili la liuaji Jiwe nchi nzima, sembuse mwenye uhai! why not kumpokea Lema!Hata kweli ya Chadema huijui utaishia kukimbizana tu hapo KIA na huyo Mkimbizi
Mbona unawashambulia wapinzani unaosema ilitakiwa waondoe giza na dhulma peke yao,Ni Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege kumuogopa Rais kwa miaka 7 mkiwa mmeufyata halafu leo amekufa ndio mnatumia Mikutano ya hadhara kumsimanga, kumkejeli na kumtukana
Popote duniani silaha kuu ya Chama cha Siasa ni Ujasiri siyo Uoga, Umbuni na Unguchiro
Mnasema ilikuwa miaka 7 ya Giza ninyi mlikuwa wapi kutetea ipatikane Nuru
Mbona mzee Membe alikuwa Jasiri kujitetea katiba mbele ya Magufuli Bila Uoga
Tuwe wakweli Tanzania hatuna Upinzani na Watoto wetu wanapoteza muda bure kushabikia huu upuuzi
Huwezi Kuwa na Wapinzani legelege wanaoshindwa kuisema Serikal kwa wakati sahihi wanamsubiri Kiongozi astaafu au afe ndio waanze kumshambulia
RIP Magufuli
RIP Maalim Seif
Hata Ndesa alizungushwa Moshi nzima baada ya kufia ofisini!kama ulivyokimbizana na jimwili la liuaji Jiwe nchi nzima, sembuse mwenye uhai! why not kumpokea Lema!
Mh Tundu kujaribu kufichua ufisadi wa Jiwe alimtwanga risasi kadhaa...wewe kenge unataka ujasiri waina gani???Membe kuporwa tuu tupesa twakuipaisha ACT wasaliti alitulia kama kaburi la shujaa mavi wenuNi Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege kumuogopa Rais kwa miaka 7 mkiwa mmeufyata halafu leo amekufa ndio mnatumia Mikutano ya hadhara kumsimanga, kumkejeli na kumtukana
Popote duniani silaha kuu ya Chama cha Siasa ni Ujasiri siyo Uoga, Umbuni na Unguchiro
Mnasema ilikuwa miaka 7 ya Giza ninyi mlikuwa wapi kutetea ipatikane Nuru
Mbona mzee Membe alikuwa Jasiri kujitetea katiba mbele ya Magufuli Bila Uoga
Tuwe wakweli Tanzania hatuna Upinzani na Watoto wetu wanapoteza muda bure kushabikia huu upuuzi
Huwezi Kuwa na Wapinzani legelege wanaoshindwa kuisema Serikal kwa wakati sahihi wanamsubiri Kiongozi astaafu au afe ndio waanze kumshambulia
RIP Magufuli
RIP Maalim Seif
Havina sera yoyoteKILA mtza anajua tulipopitia, vyama vya upinzani havina haja ya kutukumbusha yaliyopita, muhimu vitangaze sera zao. Na haviwezi kuwa na nguvu kwa sasa kwa sababu havibanwi.
Jo tunajua sii maneno yako ila maneno ya uchawa,juhudi zilizofanyika kwa damu na jasho,binafsi hukuziona na kamwe hutakaaa uzione ,kwani ukishakuwa mwanachukua chako mapema,unageuka kuwa kipofu,na kamwe huwezi kuona tena.,🤔Ni Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege kumuogopa Rais kwa miaka 7 mkiwa mmeufyata halafu leo amekufa ndio mnatumia Mikutano ya hadhara kumsimanga, kumkejeli na kumtukana
Popote duniani silaha kuu ya Chama cha Siasa ni Ujasiri siyo Uoga, Umbuni na Unguchiro
Mnasema ilikuwa miaka 7 ya Giza ninyi mlikuwa wapi kutetea ipatikane Nuru
Mbona mzee Membe alikuwa Jasiri kujitetea katiba mbele ya Magufuli Bila Uoga
Tuwe wakweli Tanzania hatuna Upinzani na Watoto wetu wanapoteza muda bure kushabikia huu upuuzi
Huwezi Kuwa na Wapinzani legelege wanaoshindwa kuisema Serikal kwa wakati sahihi wanamsubiri Kiongozi astaafu au afe ndio waanze kumshambulia
RIP Magufuli
RIP Maalim Seif
Ni yupi anaye umia kwa sasa kati ya huyu anayetukanwa aliekufa,na mtukanaji aliye hai?Bwana yule aliwapenda walio mchukia na kuwachukia wale waliompenda!
Wacha avune alichokipanda...
Tundu Lisu huyu huyu wa NAULI!Mh Tundu kujaribu kufichua ufisadi wa Jiwe alimtwanga risasi kadhaa...wewe kenge unataka ujasiri waina gani???Membe kuporwa tuu tupesa twakuipaisha ACT wasaliti alitulia kama kaburi la shujaa mavi wenu
sijui, Ndesa was not a public figure like muuaji JiweHata Ndesa alizungushwa Moshi nzima baada ya kufia ofisini!
Ndiyo ..huyu huyu Jiwe alitaka kumuua alishindwa mwisho aka dead yeyeTundu Lisu huyu huyu wa NAULI!
Mkuu mbona una jazba sana😂😂Whatever upinzani, ngoja Magufuli afe kama alivyowaua binadamu wasio na hatia. hata wangelikuwa na hatia, kuna mahakama na taratibu zingine tulizojiwekea kwa kukubaliana
Moja wapo ya takataka zilizopo Lumumba ni johnthebaptist , utanisamehe John! bahati mbaya uko hivyo and this is comming from my conviction!Jo tunajua sii maneno yako ila maneno ya uchawa,juhudi zilizofanyika kwa damu na jasho,binafsi hukuziona na kamwe hutakaaa uzione ,kwani ukishakuwa mwanachukua chako mapema,unageuka kuwa kipofu,na kamwe huwezi kuona tena.,🤔
Waoga wakubwa nyieRIH= Rest in Hell.
Kufulia kwa mbali jiwe jitu katili, muuaji mkubwa, sheitwani!
sifa zote hizo unazo wewe. Kama unaweza kumshabikia muuaji basi sifa zote hizo ni zako. bahati mbaya anonymity rule ya JF inanizuia kukwambia wewe ni nani!Ni Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege
Maisha , uhai havina mbadala, lazima kuchukua tahadhali! magufuli ameua siyo chini ya mamilioni ya watu, kwanini watu wasiogope? Wewe shujaa mbona unajiita Makojo, taja jina lako halisi tukutafuteWaoga wakubwa nyie
Kwanza andika ukweli hakuongoza miaka 7 ila miaka 5 na miezi 4 tu.Ni Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege kumuogopa Rais kwa miaka 7 mkiwa mmeufyata halafu leo amekufa ndio mnatumia Mikutano ya hadhara kumsimanga, kumkejeli na kumtukana
Popote duniani silaha kuu ya Chama cha Siasa ni Ujasiri siyo Uoga, Umbuni na Unguchiro
Mnasema ilikuwa miaka 7 ya Giza ninyi mlikuwa wapi kutetea ipatikane Nuru
Mbona mzee Membe alikuwa Jasiri kujitetea katiba mbele ya Magufuli Bila Uoga
Tuwe wakweli Tanzania hatuna Upinzani na Watoto wetu wanapoteza muda bure kushabikia huu upuuzi
Huwezi Kuwa na Wapinzani legelege wanaoshindwa kuisema Serikal kwa wakati sahihi wanamsubiri Kiongozi astaafu au afe ndio waanze kumshambulia
RIP Magufuli
RIP Maalim Seif
Sisi ndio waasisi wa ChademaMoja wapo ya takataka zilizopo Lumumba ni johnthebaptist , utanisamehe John! bahati mbaya uko hivyo and this is comming from my conviction!