johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
RIH= Rest in Hell.RIP Magufuli
Potelea mbali!RIH= Rest in Hell.
Kufulia kwa mbali jiwe jitu katili, muuaji mkubwa, sheitwani!
Wa kuitoa madarakani hajazaliwa badoNdiyo maana CCM bado ina miongo kadhaa madarakani hata isipofanya chochote.
Kuna mbwiga mmoja Ndege ziliponunuliwa alikuwa anajiposti kila anapokwenda Ujiji akiwa Ndani ya BombardierWengi wetu tushavifuta. Tumegundua kwann wazee wetu walijitoa ufahamu wakabaki na CCM tu. Jamaa wajinga sana. Acha tupigie kura ccm au tusipige kabisa. Hao wengine wanatuchosha kufikiria.
Whatever upinzani, ngoja Magufuli afe kama alivyowaua binadamu wasio na hatia. hata wangelikuwa na hatia, kuna mahakama na taratibu zingine tulizojiwekea kwa kukubalianaPotelea mbali!
Upinzani wa Mchongo
Mtu kama Lisu anayetegemea hadi nauli kutoka serikalini utasema ni mpinzani?Wapinzani wa kweli wa CCM walikuwa ni marehemu Kighoma Malima, na hayati mch Mtikila.
Hawa wengine wapo huko upinzani kuihadaa dunia ili nchi iweze kupata misaada na pesa za ufadhili kutoka dunia ya kwanza.
Lema ameomba msaada kwa Komredi Chongolo!Whatever upinzani, ngoja Magufuli afe kama alivyowaua binadamu wasio na hatia. hata wangelikuwa na hatia, kuna mahakama na taratibu zingine tulizojiwekea kwa kukubaliana
Hawa wapinzani butu wengi walikuwa wamejificha kwenye kimvuli cha marufuku ya mikutano.Kuna mbwiga mmoja Ndege ziliponunuliwa alikuwa anajiposti kila anapokwenda Ujiji akiwa Ndani ya Bombardier
Leo ndio kajua zilikuwa za mtumba
Waswahili wa Kigoma wanafiki sana
Sijui hayo hayanihusu!Lema ameomba msaada kwa Komredi Chongolo!
Pia mpinzani gani anaetoka huko alipokuwepo kuja kumtukana tu marehem na kukimbia!Mtu kama Lisu anayetegemea hadi nauli kutoka serikalini utasema ni mpinzani?
Na hujui kweli!Sijui hayo hayanihusu!
Kweli ya johnthebaptist siitaki maana haina ukweliNa hujui kweli!