Uchaguzi 2020 Kama Vyombo vya Habari vitaendelea kufanya hivi, CHADEMA Ikulu itakuwa ni ndoto


Na ndicho nilichokimaanisha
 
Simu janja nyingi ila wanaofatilia siasa kwa vibando uchwara kupitia smart wachache sana , zaidi wataangalia tu short clips , uwezo wa kuangalia kampeni full kama kwenye tv ni wachache sana wanaweza
 
Simu janja nyingi ila wanaofatilia siasa kwa vibando uchwara kupitia smart wachache sana , zaidi wataangalia tu short clips , uwezo wa kuangalia kampeni full kama kwenye tv ni wachache sana wanaweza

Sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…