Kama Waalgeria 10 juzi Waliwanyamazisha Kiushangiliaji Mazuzu FC 60,000 kwa Mkapa. Kwao wakiwa 17,000 hiyo Juni 3 itakuwaje?

Kama Waalgeria 10 juzi Waliwanyamazisha Kiushangiliaji Mazuzu FC 60,000 kwa Mkapa. Kwao wakiwa 17,000 hiyo Juni 3 itakuwaje?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Asikudanganye Mtu hapa Barani Afrika hakuna Watu wanaojua Kushangilia Viwanjani na Kufanya Fujo na Vitimbi vya kila aina ili Kummaliza kabisa Mpinzani Kama Mwarabu na hasa hasa Waarabu wa Misri na Algeria.

Kama juzi tu kwa Mkapa walikuwepo Waarabu Kumi ( 10 ) tu ila Shughuli yao Kiushangiliaji tuliiona kwa Kuwanyamazisha Mazuzu FC 60,000 walioujaza Uwanja je, wakiwa Kwao nchini Algeria katika Uwanja wao unaoingiza jumla ya Mashabiki 17,000 tu itakuwaje Siku hiyo?

Anzeni kujiandaa Kisaikolojia mapema sana kwani Mwarabu akiona Kombe liko katika Ardhi yake halafu wanaotaka Kulibeba ni Waswahili (Ngozi Nyeusi) watafanya Fitina za kila aina na hata Refa (Mwamuzi) watamuweka Mfukoni na kujikuta mnafungwa Goli 7 huku 85% ya Wachezaji wenu wamepewa Kadi za Njano na mkizidi kujifanya Wajuaji Mmoja wenu anapewa Kadi Nyekundu.

Nawashangaa Mazuzu FC mnaojipa Moyo bila hata ya Aibu kuwa mnaenda Kupindua Meza (Kushinda) Kwao nchini Algeria mkisindikizwa na Historia (Kumbukumbu) mliyonayo Vichwani mwenu kuwa kama mmemfunga Kwao Club Africaine ya nchini Tunisia na Marumo Gallants FC ya Afrika Kusini basi hata Kwao USM Alger FC nchini Algeria mtafanya hivyo hivyo.
 
Asikudanganye Mtu hapa Barani Afrika hakuna Watu wanaojua Kushangilia Viwanjani na Kufanya Fujo na Vitimbi vya kila aina ili Kummaliza kabisa Mpinzani Kama Mwarabu na hasa hasa Waarabu wa Misri na Algeria.

Kama juzi tu kwa Mkapa walikuwepo Waarabu Kumi ( 10 ) tu ila Shughuli yao Kiushangiliaji tuliiona kwa Kuwanyamazisha Mazuzu FC 60,000 walioujaza Uwanja je, wakiwa Kwao nchini Algeria katika Uwanja wao unaoingiza jumla ya Mashabiki 17,000 tu itakuwaje Siku hiyo?

Anzeni kujiandaa Kisaikolojia mapema sana kwani Mwarabu akiona Kombe liko katika Ardhi yake halafu wanaotaka Kulibeba ni Waswahili (Ngozi Nyeusi) watafanya Fitina za kila aina na hata Refa (Mwamuzi) watamuweka Mfukoni na kujikuta mnafungwa Goli 7 huku 85% ya Wachezaji wenu wamepewa Kadi za Njano na mkizidi kujifanya Wajuaji Mmoja wenu anapewa Kadi Nyekundu.

Nawashangaa Mazuzu FC mnaojipa Moyo bila hata ya Aibu kuwa mnaenda Kupindua Meza (Kushinda) Kwao nchini Algeria mkisindikizwa na Historia (Kumbukumbu) mliyonayo Vichwani mwenu kuwa kama mmemfunga Kwao Club Africaine ya nchini Tunisia na Marumo Gallants FC ya Afrika Kusini basi hata Kwao USM Alger FC nchini Algeria mtafanya hivyo hivyo.
Kweli kabisa hata juzi walivyokuwa wanapoteza muda.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
JF.

NABI ndiye aliyekosea KUPANGA kikosi.
1. Alipaswa awe na Mfumo wa Back three.
3: 4: 2 :1

2.Kukosekana kwa Mchezaji KIONGOZI kama Aucho lilikuwa ni lengo sana. Azizi ki Alikuwa chini ya kiwango mno.

3. Kukosa uzoefu na MICHEZO Mikubwa. Kama, Raja, WHYDAD, MAMELOD, orando nk.
Wanaishia kucheza MICHEZO midogo na Akina MARUMO, zalan, monastrial nk.

4. Kujiandaa zaidi Nje ya uwanja.
Kuiba tiketi nk.

5.kuizdhihaki Simba HAIJAWAHI kucheza fainali 1993.
Kukataa support ya mashabiki WA Simba.
MATUSI NDIO USISEME, ALLY KAMWE NA MANARA.

N:B YANGA AKICHUKUA UBINGWA NIPIGWE BAN YA MAISHA JAMII FORUM.
 
Sasa nyie ni timu gani isiyofungwa katika timu zilizopo timu yoyote inafungwa tu Man City juzi Kafungwa na Brentford Simba kafungwa na Azam sasa yanga asifungwe kwanini
 
Back
Top Bottom