Tema mate chini,una maana gani kusema CCM ni roho ya wananchi?Kwahiyo CCM ikifa na wananchi wamekufa?Shwain!Kwani kampeni zimeanza? Kila siku bunge dhaifu ila mmeshindwa kufikia huko. Tuheshimu waliotutangulia na wenye nacho. Kwa lugha nyepesi upinzani uheshimu CCM maana ndio wanaowapa tonge na CCM hao hao ndio roho ya wananchi
Uchadema umekujaa tu
Ndiyo umeandika lugha ipi hiyo? Mbona kama ni ya koromitje?Tunasubiri wabunge wastaafu walio wajanja wa CHADEMA waanze kwanza kumwambia Mbowe HAPANA.
Halafu wabunge wajinga qa CXM watafuata.
CCM imewatoa mbali sana Watanzania huko mbali enzi za ukoloni. Waasisi wa CCM wamepita madhira mengi sana kuhakikisha wananchi tunaishi maisha haya ya furaha na amani. Hayo mengine mnayoyataka itakuwa mnatumiwa vibaya na wakoloni au ni kuvimbiwa amani iliyopo kwa sababu tu hamjuo tabu walizopata wana CCM hadi kufikia sasa.Tema mate chini,una maana gani kusema CCM ni roho ya wananchi?Kwahiyo CCM ikifa na wananchi wamekufa?Shwain!
Wananchi walikuwepo kabla ya CCM na watakuwepo tu bila hata ya uwepo wa CCM!
Wewe ulitaka nani awe spika wa bunge?? Tukuachie ww unaejua sana lakini binafsi tulia anafaa..msomi, muaminifu hana kashfa lakini pia analimudu bungeWanajamii, bunge letu limekuwa ndio bunge dhaifu na lilikosa heshima na mvuto kwa nchi zote zinazotuzunguka.
Kwa hili la kupangiwa na Serikali cha kufanya lilitakiwa lijikomboe kuanzia sasa wabunge PESA NA POSHO WA CCM hawafikirii kabisa uendeshaji wa nchi, wao wanafikiria posho na mishahara siku ziende kila vikao sasa hivi hawatoki na cha maana zaidi ya kujikusanyia pesa zetu.
Kwa hili la kupewa tena TULIA SEMENI HAPANA ili Kama mmeshindwa mengine mlinde heshima zenu angalau kwa hili dogo.
Tulia hafai acheni kuburuzwa chagueni kwa Uhuru Kiongozi wenu tuone angalau demokrasia kidogo bungeni mmekuwa kila kitu ndiooooo jitambueni hata kwa hili basi.
Nimeandika kichagga cha kimachameNdiyo umeandika lugha ipi hiyo? Mbona kama ni ya koromitje?
Wabunge hawa wakuteuliwa na jitu katili unategemea niniWanajamii, bunge letu limekuwa ndio bunge dhaifu na lilikosa heshima na mvuto kwa nchi zote zinazotuzunguka.
Kwa hili la kupangiwa na Serikali cha kufanya lilitakiwa lijikomboe kuanzia sasa wabunge PESA NA POSHO WA CCM hawafikirii kabisa uendeshaji wa nchi, wao wanafikiria posho na mishahara siku ziende kila vikao sasa hivi hawatoki na cha maana zaidi ya kujikusanyia pesa zetu.
Kwa hili la kupewa tena TULIA SEMENI HAPANA ili Kama mmeshindwa mengine mlinde heshima zenu angalau kwa hili dogo.
Tulia hafai acheni kuburuzwa chagueni kwa Uhuru Kiongozi wenu tuone angalau demokrasia kidogo bungeni mmekuwa kila kitu ndiooooo jitambueni hata kwa hili basi.
Wabunge hawana la kufanya kwasababu mapendekezo ya nani awe spika hayafanywi na wabunge. Chama kimeshampendekeza Tulia na hana mpinzani. Hata akipata kura moja inamtoshaWanajamii, bunge letu limekuwa ndio bunge dhaifu na lilikosa heshima na mvuto kwa nchi zote zinazotuzunguka.
Kwa hili la kupangiwa na Serikali cha kufanya lilitakiwa lijikomboe kuanzia sasa wabunge PESA NA POSHO WA CCM hawafikirii kabisa uendeshaji wa nchi, wao wanafikiria posho na mishahara siku ziende kila vikao sasa hivi hawatoki na cha maana zaidi ya kujikusanyia pesa zetu.
Kwa hili la kupewa tena TULIA SEMENI HAPANA ili Kama mmeshindwa mengine mlinde heshima zenu angalau kwa hili dogo.
Tulia hafai acheni kuburuzwa chagueni kwa Uhuru Kiongozi wenu tuone angalau demokrasia kidogo bungeni mmekuwa kila kitu ndiooooo jitambueni hata kwa hili basi.
Pale jiwe linapogeuka mavumbiNimeandika kichagga cha kimachame
Nawe ukadanganyika?Angalia makala zake na comments zilizopita zinajitanabaisha ni chadema
Swali la kitoto huwa halijibiwa Am afraidNawe ukadanganyika?
eti ccm ndo roho ya wananchiKwani kampeni zimeanza? Kila siku bunge dhaifu ila mmeshindwa kufikia huko. Tuheshimu waliotutangulia na wenye nacho. Kwa lugha nyepesi upinzani uheshimu CCM maana ndio wanaowapa tonge na CCM hao hao ndio roho ya wananchi
Kwanza wakati tunapata uhuru hiyo CCM haikuwepo!TANU Ilikuwa Kwa ajili ya kila mtanzania ambaye alitaka uhuru wa taifa letu!CCM imewatoa mbali sana Watanzania huko mbali enzi za ukoloni. Waasisi wa CCM wamepita madhira mengi sana kuhakikisha wananchi tunaishi maisha haya ya furaha na amani. Hayo mengine mnayoyataka itakuwa mnatumiwa vibaya na wakoloni au ni kuvimbiwa amani iliyopo kwa sababu tu hamjuo tabu walizopata wana CCM hadi kufikia sasa.
Hawana ubavu huo. Rungu litakalo tumika kuwaponda ni upigaji kura. Kura za siri hazitaruhusiwa!Wanajamii, bunge letu limekuwa ndio bunge dhaifu na lilikosa heshima na mvuto kwa nchi zote zinazotuzunguka.
Kwa hili la kupangiwa na Serikali cha kufanya lilitakiwa lijikomboe kuanzia sasa wabunge PESA NA POSHO WA CCM hawafikirii kabisa uendeshaji wa nchi, wao wanafikiria posho na mishahara siku ziende kila vikao sasa hivi hawatoki na cha maana zaidi ya kujikusanyia pesa zetu.
Kwa hili la kupewa tena TULIA SEMENI HAPANA ili Kama mmeshindwa mengine mlinde heshima zenu angalau kwa hili dogo.
Tulia hafai acheni kuburuzwa chagueni kwa Uhuru Kiongozi wenu tuone angalau demokrasia kidogo bungeni mmekuwa kila kitu ndiooooo jitambueni hata kwa hili basi.
Usijidanganye umenitangulia mbele.Jibu swali, ng'ombe weye!Swali la kitoto huwa halijibiwa Am afraid
Ndugu hakuna wa kusema Hapana hapo.Wanajamii, bunge letu limekuwa ndio bunge dhaifu na lilikosa heshima na mvuto kwa nchi zote zinazotuzunguka.
Kwa hili la kupangiwa na Serikali cha kufanya lilitakiwa lijikomboe kuanzia sasa wabunge PESA NA POSHO WA CCM hawafikirii kabisa uendeshaji wa nchi, wao wanafikiria posho na mishahara siku ziende kila vikao sasa hivi hawatoki na cha maana zaidi ya kujikusanyia pesa zetu.
Kwa hili la kupewa tena TULIA SEMENI HAPANA ili Kama mmeshindwa mengine mlinde heshima zenu angalau kwa hili dogo.
Tulia hafai acheni kuburuzwa chagueni kwa Uhuru Kiongozi wenu tuone angalau demokrasia kidogo bungeni mmekuwa kila kitu ndiooooo jitambueni hata kwa hili basi.
Inaonesha wewe ni mchagga maana tusi kubwa kwa mchagga ni kukuita Ng’ombe!Usijidanganye umenitangulia mbele.Jibu swali, ng'ombe weye!