Kama Wabunge wanalipwa Mishahara sioni kwanini Viongozi wa Dini wasilipwe Mishahara na Serikali. Nakubaliana na Shehe Bombo

Kama Wabunge wanalipwa Mishahara sioni kwanini Viongozi wa Dini wasilipwe Mishahara na Serikali. Nakubaliana na Shehe Bombo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wabunge wetu Wana shughuli zao nyingine zinazowaingizia kipato kama Biashara, Kilimo n.k lakini wanalipwa mishahara minono na Serikali na Vyama vyao vinapewa Ruzuku kila mwezi.

Sasa kwanini Viongozi wa dini ambao ndio Watengeneza amani ya Mwili na Roho wasilipwe mishahara na Serikali?

Wasajiliwe wote waingizwe kwenye payroll halafu exemption ya Kodi Kwenye Taasisi za Dini iondolewe.

Nawatakia Dominica njema 😀
Soma pia: Sheikh Ibrahim Bombo: Serikali ianzishe utaratibu wa kulipa mishahara kwa Viongozi mbalimbali wa Dini kutokana na kazi nzuri wanayoifanya
 
Wabunge wetu Wana Shughuli zao nyingine zinazowaingizia kipato kama Biashara, kilimo nk lakini wanalipwa mishahara minono na serikali na Vyama vyao vinapewa Ruzuku kila mwezi

Sasa kwanini Viongozi wa dini ambao ndio Watengeneza amani ya Mwili na roho wasilipwe mishahara na serikali?

Wasajaliwe wote waingizwe kwenye payroll halafu exemption ya Kodi Kwenye Taasisi za Dini iondolewe

Nawatakia Dominica njema 😀
Uongozi wa dini si ajira rasmi kikatiba ,kisheria
 
Posho na mishahara ya wabunge ni kuitia hasara serikali hawana mchango wowote kwa taifa hawa watu na wanatumia pesa nyingi sana
Mishahara na posho za wabunge ndizo zinawapotosha wataalamu wengi na kutamani kuwa wabunge.Wabunge walipaswa kupata posho tu ya laki saba kwa mwezi na kusiwe na kiiunua mgongo.Hivi,Lukuvi wa Ismani Iringa ameshapokea viinua mgongo vingapi vya bunge?This is nonsense!
 
Wananchi wasio na kazi walipwe pia.
Single mothers wajane walipwe nao mishahara kulingana na idadi ya watoto.
Hili ni la msingi sana. Kila mtanzania awe na haki ya kujikimu - hivyo mtu anapokuwa hajajiajiri na hajaajiriwa, alipwe japo kima cha chini cha mshahara.
 
Wabunge wetu Wana Shughuli zao nyingine zinazowaingizia kipato kama Biashara, kilimo nk lakini wanalipwa mishahara minono na serikali na Vyama vyao vinapewa Ruzuku kila mwezi

Sasa kwanini Viongozi wa dini ambao ndio Watengeneza amani ya Mwili na roho wasilipwe mishahara na serikali?

Wasajaliwe wote waingizwe kwenye payroll halafu exemption ya Kodi Kwenye Taasisi za Dini iondolewe

Nawatakia Dominica njema 😀
Kheeee..!!!This is very low kutoka kwako. Mtu halipwi mshahara kwa sababu ya kutokuwa au kuwa na biashara binafsi. Unalipwa mshahara kwa vile yule anayekulipa unamfanyia kazi yake..!!

Kwa mtazamo wako, maana yake;
1. Wenye shule binafsi nao walipwe mishahara na serikali
2. Wenye hospitali binafsi nao walipwe mishahara na serikali
3. Wenye vyuo binafsi nao walipwe mishahara na serikali
4. Wanaoshughurika na usafirishaji wa abiria na mizigo nao walipwe mishahara na serikali
5. Wenye viwanda binafsi nao walipwe mishahara na serikali
 
Kheeee..!!!This is very low kutoka kwako. Mtu halipwi mshahara kwa sababu ya kutokuwa au kuwa na biashara binafsi. Unalipwa mshahara kwa vile yule anayekulipa unamfanyia kazi yake..!!

Kwa mtazamo wako, maana yake;
1. Wenye shule binafsi nao walipwe mishahara na serikali
2. Wenye hospitali binafsi nao walipwe mishahara na serikali
3. Wenye vyuo binafsi nao walipwe mishahara na serikali
4. Wanaoshughurika na usafirishaji wa abiria na mizigo nao walipwe mishahara na serikali
5. Wenye viwanda binafsi nao walipwe mishahara na serikali
Hujaelewa mada 🐼

Nakutakia Dominica Njema 😄
 
Hili ni la msingi sana. Kila mtanzania awe na haki ya kujikimu - hivyo mtu anapokuwa hajajiajiri na hajaajiriwa, alipwe japo kima cha chini cha mshahara.
Sahihi Kabisa katika kudumisha Amani
 
Sasa hivi hawalipwi LAKINI wako Loyal Hadi wanashindwa kuhoji Mambo ya msingi, siku wakilipwa si ndio watageuka kuwa kama watumishi.? Stupidity of highest level
 
Sasa hivi hawalipwi LAKINI wako Loyal Hadi wanashindwa kuhoji Mambo ya msingi, siku wakilipwa si ndio watageuka kuwa kama watumishi.? Stupidity of highest level
Wewe ulimzoea mchungaji Msigwa so umekariri

Kazi ya Viongozi wa Dini ni kuhubiri Neno la Mungu wa mbinguni
 
Utalipa wangapi mpaka akina Kapola? Baadaye na machifu watadai mishahara. Kumbuka kuna kundi la wenyeviti wa vijiji,mitaa na vitongoji wanafanya kazi kubwa nchi hii hawanaga hata posho achilia mbali mishahara. Leo uanze kuwalipa akina Kapola, Uwoya, kiboko ya wachawi, shekhe kipozeo et al.? Dini sasa hivi ushakuwa ujasiriamali kila mtu ale kwenye madhabahu yake

SIUNGI MKONO HOJA
 
Back
Top Bottom