inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hiyo exemption ya Kodi kwa taasisi za dini kaisema?..kwa nini hamjadili hiyo?!..maana taasisi za dini kazi kuchukua tu,wamenona Kama nguruwe mzazi wakati wafuasi wanafubaa tu,Kodi hawatoi,ruzuku wanakula,sadaka fungu la kumi wanakula,hawana hata huruma