ni wa chama gani?
Mzee hilo vazi lina makosa gani ?Kavaa wapi ? Kama si mjengoni hakuna shida .Mbunge ni mtu pia.Huyu ni mhindi na wahindi wanavaa hivyo unataka nini ?
Hiyo picha ina uhusiano gani wa moja kwa.moja na.status yake huko alikoipost??????!!!!!!
Mwisho mtataka aoge na nguo!!!!
Acha huyo mbunge.......Hujamwona Waziri wewe?
Waziri Mashaallah, jamani kitu muashock, hewani sekunde mpaka msoldier amedata.
Mzee hilo vazi lina makosa gani ?Kavaa wapi ? Kama si mjengoni hakuna shida .Mbunge ni mtu pia.Huyu ni mhindi na wahindi wanavaa hivyo unataka nini ?
hilo vazi ni vazi la heshima kabisa la kihindi, na kukazia point yako mkuu shy rose ni mhindi wa kikurya!