Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Mkimuendekeza Manara atawavuruga yule anamatatizo ya akili,hayupo sawa kichwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani wamekuja na bus la mikoani kwamba unamuagiza mtu akuletee maparachichi na vitunguu?Akiishi Uranus ndiyo mizigo haitumwi?
Sijui Ila ni mtu anayependa attentionManara yeye ni kama nani huko yanga!
Mpira unachezwa uwanjani hata wewe ungekuwa nje na timu ya Taifa lako inakuja ni wazi ungependa kuonana naoKosa kubwa ninalolaani ni lile la kunyanganya simu ya mwandishi mmoja wa habari na kufuta kila kilcokuwamo. Ina maana hakutaka ajulikane kuwa walienda kuwapoke na hapo nmdipo anpodhihirisha kuwa hakuwa na nia njema. Kitendo cha kunyangaya simu ya mwandihsi kingeweza kusababisha tafrani na uvunjaji wa amani