SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na Kidimbwi FC iliyopigwa kimoko na timu ya daraja la kwanza tuiweke kundi gani?Naangalia game ya Al Ahly Vs Bayern Munich muda huu. Jamaa wanaupiga aisee, hii ndo Next level Yenyewe sio ile inayodroo hadi na Azam.
Wako kundi moja na wana KimanumanuAl-Ahly wanajiita team of the century. Kama hujui uliza.
Vipi mabingwa wa makumbusho mnakipiga na nani kwenye makundi africa?
Luc alishasema nyie ni sawa na kima na mbwa tu.Huo utafiti itakuwa ulifanyikia hospitali ya Mirembe maana watu wa dizaini hiyo ndiyo pekee waliobaki kuwashabikia paka fc.
Kidimbwi mnadhani Klabu Bingwa Barani Afrika, inafuatilia Afrika tu, angalia Channel zinazorushwa kwanza ni za nchi gani..ndo utafahamuMikia fc wanaandika kwenye jezi zao "visit Tanzania" unamwambia mwafrika mwenye njaa apo Congo,malawi, Zimbabwe,Chad Nigeria,kenya ..aje kutembelea Tanzania wakati hata huko alipo anaunga maisha
Kweli mkia ni mkia tu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Watafune tu..... hata huyu mleta mada.
Wewe Kidimbwi kua muelewa.Mikia fc wanaandika kwenye jezi zao "visit Tanzania" unamwambia mwafrika mwenye njaa apo Congo,malawi, Zimbabwe,Chad Nigeria,kenya ..aje kutembelea Tanzania wakati hata huko alipo anaunga maisha
Kweli mkia ni mkia tu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Unapaswa kujua maana ya Next level kwanza. So far Azam yuko vizuri next time lazima tumualike Simba Super Cup.Naangalia game ya Al Ahly Vs Bayern Munich muda huu. Jamaa wanaupiga aisee, hii ndo Next level yenyewe sio ile inayodroo hadi na Azam.
Achana na huyu Kidimbwi ni ushamba na ulimbukeni wa kumiliki smartphone tu unamsumbuaWewe Kidimbwi kua muelewa.
Klabu bingwa Africa inatizamwa kote ulimwenguni.
Alafu pale kwenye jezi pameandikwa"Visit Tanzania"
Unafikiri Congo wote wana njaa au Nigeria au kina Dangote ba katumbu wanetokeà wapiMikia fc wanaandika kwenye jezi zao "visit Tanzania" unamwambia mwafrika mwenye njaa apo Congo,malawi, Zimbabwe,Chad Nigeria,kenya ..aje kutembelea Tanzania wakati hata huko alipo anaunga maisha
Kweli mkia ni mkia tu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Teh sipati picha kwa ule mkaoLeo ute wanatoka wanaenda kuchezea kipimo kipya cha covid
Tangu lini uongozi wa mkia fc wakawa akili za kutafuta watalii? Uyo dada wa kihindi kawaona majuha tu eti Visit Tanzania wakati ligi yenyewe Haina mvuto wowote halafu nani kakudanganya wazungu wanafuatilia utopolo wenu? Nyie mmelenga watalii wa kimataifa au Africa? Wizara ya utalii Imekosa ubunifu mwingine wa kuvuta watalii hadi watumie hii mikia fc?Wewe Kidimbwi kua muelewa.
Klabu bingwa Africa inatizamwa kote ulimwenguni.
Alafu pale kwenye jezi pameandikwa"Visit Tanzania"
Nipe idadi ya watalii kutoka huko Congo waliokuja hapa bongo..Unafikiri Congo wote wana njaa au Nigeria au kina Dangote ba katumbu wanetokeà wapi
Kitu gani kinakusumbua Simba inashiriki michuano mikubwa Africa i nayoangaliwa na maelfu ya watu toka mataifa tofautiNipe idadi ya watalii kutoka huko Congo waliokuja hapa bongo..
Huu ni uwekezaji wa kipuuzi sana.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Jadi uwekezaji ukuume umetoa shilingi ngapiNipe idadi ya watalii kutoka huko Congo waliokuja hapa bongo..
Huu ni uwekezaji wa kipuuzi sana.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hao ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu fc! Wakati wa mechi zao za nyumbani, itawabidi mashabiki wao wafanyiwe upekuzi wa kina na watu wa usalama!Mikia fc wanaandika kwenye jezi zao "visit Tanzania" unamwambia mwafrika mwenye njaa apo Congo,malawi, Zimbabwe,Chad Nigeria,kenya ..aje kutembelea Tanzania wakati hata huko alipo anaunga maisha
Kweli mkia ni mkia tu
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nyie ndiyo maana mnafabanishwa na nyani na mbwa mnabweka bweka na kuzomea tu hamna mjualoHao ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu fc! Wakati wa mechi zao za nyumbani, itawabidi mashabiki wao wafanyiwe upekuzi wa kina na watu wa usalama!
Kama Taifa hatuwezi kuendelea kuaibishwa na hawa mashabiki mbumbumbu wanao wanga uwanjani wakati mechi ikiendelea kwa kutumia mapaka, mijusi, kenge, makunguru, nyuki, matunguri, na kila aina ya uchawi!