Kama Wale Jamaa Wanajiita Next Level, Al Ahly Wanaocheza na Bayern Munich Wajiiteje?

Kama Wale Jamaa Wanajiita Next Level, Al Ahly Wanaocheza na Bayern Munich Wajiiteje?

Tangu lini uongozi wa mkia fc wakawa akili za kutafuta watalii? Uyo dada wa kihindi kawaona majuha tu eti Visit Tanzania wakati ligi yenyewe Haina mvuto wowote halafu nani kakudanganya wazungu wanafuatilia utopolo wenu? Nyie mmelenga watalii wa kimataifa au Africa? Wizara ya utalii Imekosa ubunifu mwingine wa kuvuta watalii hadi watumie hii mikia fc?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nyie manyani ndiyo mataahira kabisa hata hamjitambui
FB_IMG_1606901481080.jpg
 
Hao ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu fc! Wakati wa mechi zao za nyumbani, itawabidi mashabiki wao wafanyiwe upekuzi wa kina na watu wa usalama!

Kama Taifa hatuwezi kuendelea kuaibishwa na hawa mashabiki mbumbumbu wanao wanga uwanjani wakati mechi ikiendelea kwa kutumia mapaka, mijusi, kenge, makunguru, nyuki, matunguri, na kila aina ya uchawi!
Yani mikia fc nj matatizo sana kwanzia mashabiki hadi timu lenyewe.. kwanza wengi wao ndo wanaongoza kwa umasikini nchini..bila ndumba mpira kwao hautembei..[emoji3][emoji3][emoji3]

Ndio maana naipenda sana Yanga ..maana ni timu ya wananchi.


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Nyie manyani ndiyo mataahira kabisa hata hamjitambuiView attachment 1698358
Sasa wewe mikia fc mnaona mmepiga hatua ..eti "visit Tanzania" hehehe [emoji3][emoji3] mngepata mdhamini wa maana mungeeka hapo huo utumbo wenu.. iyo club bingwa unadhani kuna popote mtafika.? Ni kweli mikia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Naangalia game ya Al Ahly Vs Bayern Munich muda huu. Jamaa wanaupiga aisee, hii ndo Next level yenyewe sio ile inayodroo hadi na Azam.
Simba sc ni next level. Al ahaly ni next level pia ndio maana wamepangwa kundi moja.
 
Sasa wewe mikia fc mnaona mmepiga hatua ..eti "visit Tanzania" hehehe [emoji3][emoji3] mngepata mdhamini wa maana mungeeka hapo huo utumbo wenu.. iyo club bingwa unadhani kuna popote mtafika.? Ni kweli mikia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Dua la nyani hilo halimpati Simba
 
Back
Top Bottom