Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Na kukumbusha tu ndugu yangu hapa duniani kuna aina mbalimbali za uchawi na tumeambiwa Ktk vitabu vya dini kwamba HAKUNA UCHAWI JUU YA ISRAEL hivyo hakuna ombi, ulozi, uchawi, utaalam wa nyota, au ushirikina wa aina yoyote ya kumuua mu Israel, sasa sijajua huu uwezo ni wa Ki Mungu au kuna mzizi gani hawa jamaa walikula na wana roho ngumu, mbaya, mkatili, kama una bomu au mshale au jiwe unawabamiza vizuri tu lakini uchawi wowote jamaa hawafi wala kuumwa.

Lakini matabaka yaliyobaki hapa duniani yanalogeka.
sio Israel tu, Congo wanateseka, somalia wanateseka, nenda hapo nigeria, mali. watu wanapambana maana mambo mengine Mungu katuachia tudeal nayo.
 
Nafikiri Bw. Paskali umechanganya mambo, hususani kwenye suala hili la kuua Watu kiholela kunakofanywa na vyombo vya Usalama.

Jaribu kutofautisha kati ya haya mambo mawili:-
1. 'Killing People' and
2."Elimination of Threats.'

Very clear line must be drawn to separate these two things. Unless otherwise, it will cause a total chaos and the serious grave human right violations.
Kwani ku eliminate threat hakuhusishi kuua?
 
Kwani,uliwahi kupatwa na karma au umeandika kwa kadiri ya ranges zako za 9/10 na 10/10?Leo umeandika hisia bila uhalisia mwana TSJ.
Mimi mleta mada nimemwelewa mfano mtu ili anyongwe kwanza huhukumiwa na mahakama ndio hutoa amri ya kunyonga

Kisha mtu hupelekwa kwa mnyongqji ambaye huwa hata hana haja kuangalia sijui huyo mtu alikuwa na shida gani yeye kazi yake kunyonga tu

Sasa albadiri akisomewa mnyongaji yaweza isimpate.Yeye mtekelezaji tu asiyetakiwa kuhoji chochote na aweza kuwa hajui chochote yeye ni kutii amri tu

Eliminator hahitaji kujua undani ni kutii amri tu
 
Mimi mleta mada nimemwelewa mfano mtu ili anyongwe kwanza huhukumiwa na mahakama ndio hutoa amri ya kunyonga

Kisha mtu hupelekwa kwa mnyongqji ambaye huwa hata hana haja kuangalia sijui huyo mtu alikuwa na shida gani yeye kazi yake kunyonga tu

Sasa albadiri akisomewa mnyongaji yaweza isimpate.Yeye mtekelezaji tu asiyetakiwa kuhoji chochote na aweza kuwa hajui chochote yeye ni kutii amri tu
Ingekuwa hivyo yule jamaa aliyeagiza TL apigwe angekuwa hai

Haya mambo yanafanya Kazi vzr
 
Nakuheshimu sana Pasco.
Ngoja nikwambie kitu
Albadir ni dua ambayo unamshatikia Allah. Hii kusomwa unatakiwa utoe taarifa kwamba tunasoma dua hii.
Kama mwizi ajitokeze arudishe, kama Kaiba ndani ya familia ajitokeze ili isisomwe.
Na hii jinsi unavyonuia.
Kama umeniua aliehusika au kutoa amri ya kuibiwa hicho kitu aende na maji basi watakwenda. Ni msururu wa watu wanaeza kwenda na maji. Swala utajuaje kama wameenda na water kutokana halbadiri?
Sasa sijui wasumaji wa dua watanunia vipi
never ever hakuna kitu cha namna hii
 
Swali la kizushi tu kaka Paskali; wewe kama mtaalamu wa sheria na mwana habari nguli tena za uchunguzi..., ni kweli kwamba huwajui WAUAJI? Msema kweli mpenzi wa Mungu.
 
Hivi chadema hawakuhusika kweli hii ishu ili kumchafua mama?? Au baadhi ya viongozi wa ccm wenye nia mbaya na mama??

Jaribuni kutafakari upya, kuna kitu hapa kinafichwa
 
Wanabodi,

Najua wengi wetu wameumizwa sana na kifo cha kikatili cha Mzee Ali Mohamed Kibao, natoa tena pole kwa wote.

Watu wamekasirika hadi kuwasomea Albadir, hivyo naomba kuwaelimisha kidogo kuhusu wauaji na utendaji kazi wa Albadir ambayo inafuata kanuni ya karma.

Kama wauawaji hao ni watu "Wasiojulikana", then karma na Albadir itawahusu, na watalipwa kwa matendo yao na uovu wao, lakini kama waliofanya mauaji hayo ni watu 'wasiojulikana', then sio karma wala Albadir inaweza kuwafanya chocolate, kwasababu walikuwa wanatimiza wajibu wao!.

Naomba kujitambulisha tena na tena ili kusaidia kuwaelimisha wengine kuhusu utendaji kazi wa kitu kinachoitwa "the operatives", mimi nimezaliwa na wazazi wangu wote wawili, Baba na mama ni waserekali.

Serikali zote duniani zina utaratibu wake wa kufanya kitu kinachoitwa "elimination" of dissidents. Ile mwaka 1976 kwenye ile kesi ya mauaji Mwanza, Mzee wangu alihusika na mimi kuzishuhudia baadhi ya zana za kazi baba akirudi nazo usiku mkubwa. Nawaomba mkisikia baadhi ya maofisa wa jeshi, polisi na usalama wa Taifa wanakuwa walevi wa kutupa, wasameheni, Mambo wanayoyapitia ili kujisahaulisha lazima wawe bwii!.

Hivyo kuna watu wanaajiriwa na kupewa mafunzo rasmi ya elimination. Majeshi yote yana watu hawa, wanaitwa wadunguaji, snipers, hivyo hata mimi nikiwa jeshini JKT Makutopora kwa mujibu wa sheria, kwenye somo la range, nilihit the bull 9/10, hivyo nilipomaliza tuu jkt nilipelekwa moja kwa moja JWTZ, Airwing na huko tukaanza moja deployed nyingine ya jeshi. Huko sasa nikadungua 10/10, Mmoja wa waalimu wangu Afande Kahamba, Sstg. akatufubdisha kuwa kazi ya polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zake, kazi ya usalama wa Taifa ni kulinda Serikali iliyopo madarakani na kazi ya jeshi ni kulinda nchi. Kwa upande wa jeshi shughuli kuu ya askari jeshi ni kuua tuu, nothing more nothing less!. Nikaanza kulichukia jeshi!.

Kumbe kambi hiyo ya Airwing ndipo wanapoendeshea Mahakama ya Kijeshi Court Marshall nikashuhudia kalinye kalinye za maofisa wa jeshi wakihukumiwa Mahakama ya Kijeshi, kiukweli niliaga jeshi kwa amani nikaenda kujiunga na TSJ nikawa mwandishi wa habari na mtangazaji.

Sasa kwenye hizi eliminaons ziko mbinu mbalimbali za eliminaons naomba hapa nisizitaje ila hakuna justification yoyote kumuua binadamu kwa ukatili wa kiasi kile.

Sasa kwa vile kuna watu jukumu lao ni kuua, watu hao wakitumwa kumuua yoyote, sio jukumu lao kujua amefanya nini, wao wakipewa amri halali ya eliminaons, kazi yao ni tu eliminate, how, ni juu yao!.

Hivyo kwenye Utekelezaji wa eliminaons wao wanatimiza wajibu wao, hivyo kama mlengwa was shortlisted kwenye list ya eliminaons, na akawa eliminated, karma ya eliminaons haiwahusu, hata msome Albadir haiwahusu kwasababu wao walikuwa wanatimiza tuu wajibu wao!.

Ndio maana nimesema kama waliofanya ukatili huu ni watu "wasiojulikana" then karma na Albadir itawahusu lakini kama ni 'wasiojulikana', karma wala Albadir haiwahusu!.

Ila ili eliminaons ifanyike kihalali, lazima CinC asaini death warrant ya hiyo operation ya eliminaons.

Askari polisi, jeshi na usalama wa taifa, wanapoau kwenye kutimiza majukumu yao, sio dhambi!, hata vifo vya watu wasio na hatia, vinapotokea kwenye operations zozote, hatia ya damu isiyo na hatia sio kwa watekelezaji bali kwa waliopanga na kutoa amri ya Utekelezaji!

Kwa wasio jua tofauti kati ya "wasiojulikana" na 'wasiojulikana' karibu pande hii Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Wasalaam
Jumatano Njema.
Paskali
Mungu atawahukumu hao 'wasiojulikana' / " wasiojulikana" na aliyewatuma.
 
Na kukumbusha tu ndugu yangu hapa duniani kuna aina mbalimbali za uchawi na tumeambiwa Ktk vitabu vya dini kwamba HAKUNA UCHAWI JUU YA ISRAEL hivyo hakuna ombi, ulozi, uchawi, utaalam wa nyota, au ushirikina wa aina yoyote ya kumuua mu Israel, sasa sijajua huu uwezo ni wa Ki Mungu au kuna mzizi gani hawa jamaa walikula na wana roho ngumu, mbaya, mkatili, kama una bomu au mshale au jiwe unawabamiza vizuri tu lakini uchawi wowote jamaa hawafi wala kuumwa.

Lakini matabaka yaliyobaki hapa duniani yanalogeka.
vipi uchawi juu ya marekani mkuu?
 
Wanabodi,

Najua wengi wetu wameumizwa sana na kifo cha kikatili cha Mzee Ali Mohamed Kibao, natoa tena pole kwa wote.

Watu wamekasirika hadi kuwasomea Albadir, hivyo naomba kuwaelimisha kidogo kuhusu wauaji na utendaji kazi wa Albadir ambayo inafuata kanuni ya karma.

Kama wauawaji hao ni watu "Wasiojulikana", then karma na Albadir itawahusu, na watalipwa kwa matendo yao na uovu wao, lakini kama waliofanya mauaji hayo ni watu 'wasiojulikana', then sio karma wala Albadir inaweza kuwafanya chocolate, kwasababu walikuwa wanatimiza wajibu wao!.

Naomba kujitambulisha tena na tena ili kusaidia kuwaelimisha wengine kuhusu utendaji kazi wa kitu kinachoitwa "the operatives", mimi nimezaliwa na wazazi wangu wote wawili, Baba na mama ni waserekali.

Serikali zote duniani zina utaratibu wake wa kufanya kitu kinachoitwa "elimination" of dissidents. Ile mwaka 1976 kwenye ile kesi ya mauaji Mwanza, Mzee wangu alihusika na mimi kuzishuhudia baadhi ya zana za kazi baba akirudi nazo usiku mkubwa. Nawaomba mkisikia baadhi ya maofisa wa jeshi, polisi na usalama wa Taifa wanakuwa walevi wa kutupa, wasameheni, Mambo wanayoyapitia ili kujisahaulisha lazima wawe bwii!.

Hivyo kuna watu wanaajiriwa na kupewa mafunzo rasmi ya elimination. Majeshi yote yana watu hawa, wanaitwa wadunguaji, snipers, hivyo hata mimi nikiwa jeshini JKT Makutopora kwa mujibu wa sheria, kwenye somo la range, nilihit the bull 9/10, hivyo nilipomaliza tuu jkt nilipelekwa moja kwa moja JWTZ, Airwing na huko tukaanza moja deployed nyingine ya jeshi. Huko sasa nikadungua 10/10, Mmoja wa waalimu wangu Afande Kahamba, Sstg. akatufubdisha kuwa kazi ya polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zake, kazi ya usalama wa Taifa ni kulinda Serikali iliyopo madarakani na kazi ya jeshi ni kulinda nchi. Kwa upande wa jeshi shughuli kuu ya askari jeshi ni kuua tuu, nothing more nothing less!. Nikaanza kulichukia jeshi!.

Kumbe kambi hiyo ya Airwing ndipo wanapoendeshea Mahakama ya Kijeshi Court Marshall nikashuhudia kalinye kalinye za maofisa wa jeshi wakihukumiwa Mahakama ya Kijeshi, kiukweli niliaga jeshi kwa amani nikaenda kujiunga na TSJ nikawa mwandishi wa habari na mtangazaji.

Sasa kwenye hizi eliminaons ziko mbinu mbalimbali za eliminaons naomba hapa nisizitaje ila hakuna justification yoyote kumuua binadamu kwa ukatili wa kiasi kile.

Sasa kwa vile kuna watu jukumu lao ni kuua, watu hao wakitumwa kumuua yoyote, sio jukumu lao kujua amefanya nini, wao wakipewa amri halali ya eliminaons, kazi yao ni tu eliminate, how, ni juu yao!.

Hivyo kwenye Utekelezaji wa eliminaons wao wanatimiza wajibu wao, hivyo kama mlengwa was shortlisted kwenye list ya eliminaons, na akawa eliminated, karma ya eliminaons haiwahusu, hata msome Albadir haiwahusu kwasababu wao walikuwa wanatimiza tuu wajibu wao!.

Ndio maana nimesema kama waliofanya ukatili huu ni watu "wasiojulikana" then karma na Albadir itawahusu lakini kama ni 'wasiojulikana', karma wala Albadir haiwahusu!.

Ila ili eliminaons ifanyike kihalali, lazima CinC asaini death warrant ya hiyo operation ya eliminaons.

Askari polisi, jeshi na usalama wa taifa, wanapoau kwenye kutimiza majukumu yao, sio dhambi!, hata vifo vya watu wasio na hatia, vinapotokea kwenye operations zozote, hatia ya damu isiyo na hatia sio kwa watekelezaji bali kwa waliopanga na kutoa amri ya Utekelezaji!

Kwa wasio jua tofauti kati ya "wasiojulikana" na 'wasiojulikana' karibu pande hii Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Wasalaam
Jumatano Njema.
Paskali
Asante kwa kutupa uzoefu
 
Wanabodi,

Najua wengi wetu wameumizwa sana na kifo cha kikatili cha Mzee Ali Mohamed Kibao, natoa tena pole kwa wote.

Watu wamekasirika hadi kuwasomea Albadir, hivyo naomba kuwaelimisha kidogo kuhusu wauaji na utendaji kazi wa Albadir ambayo inafuata kanuni ya karma.

Kama wauawaji hao ni watu "Wasiojulikana", then karma na Albadir itawahusu, na watalipwa kwa matendo yao na uovu wao, lakini kama waliofanya mauaji hayo ni watu 'wasiojulikana', then sio karma wala Albadir inaweza kuwafanya chocolate, kwasababu walikuwa wanatimiza wajibu wao!.

Naomba kujitambulisha tena na tena ili kusaidia kuwaelimisha wengine kuhusu utendaji kazi wa kitu kinachoitwa "the operatives", mimi nimezaliwa na wazazi wangu wote wawili, Baba na mama ni waserekali.

Serikali zote duniani zina utaratibu wake wa kufanya kitu kinachoitwa "elimination" of dissidents. Ile mwaka 1976 kwenye ile kesi ya mauaji Mwanza, Mzee wangu alihusika na mimi kuzishuhudia baadhi ya zana za kazi baba akirudi nazo usiku mkubwa. Nawaomba mkisikia baadhi ya maofisa wa jeshi, polisi na usalama wa Taifa wanakuwa walevi wa kutupa, wasameheni, Mambo wanayoyapitia ili kujisahaulisha lazima wawe bwii!.

Hivyo kuna watu wanaajiriwa na kupewa mafunzo rasmi ya elimination. Majeshi yote yana watu hawa, wanaitwa wadunguaji, snipers, hivyo hata mimi nikiwa jeshini JKT Makutopora kwa mujibu wa sheria, kwenye somo la range, nilihit the bull 9/10, hivyo nilipomaliza tuu jkt nilipelekwa moja kwa moja JWTZ, Airwing na huko tukaanza moja deployed nyingine ya jeshi. Huko sasa nikadungua 10/10, Mmoja wa waalimu wangu Afande Kahamba, Sstg. akatufubdisha kuwa kazi ya polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zake, kazi ya usalama wa Taifa ni kulinda Serikali iliyopo madarakani na kazi ya jeshi ni kulinda nchi. Kwa upande wa jeshi shughuli kuu ya askari jeshi ni kuua tuu, nothing more nothing less!. Nikaanza kulichukia jeshi!.

Kumbe kambi hiyo ya Airwing ndipo wanapoendeshea Mahakama ya Kijeshi Court Marshall nikashuhudia kalinye kalinye za maofisa wa jeshi wakihukumiwa Mahakama ya Kijeshi, kiukweli niliaga jeshi kwa amani nikaenda kujiunga na TSJ nikawa mwandishi wa habari na mtangazaji.

Sasa kwenye hizi eliminaons ziko mbinu mbalimbali za eliminaons naomba hapa nisizitaje ila hakuna justification yoyote kumuua binadamu kwa ukatili wa kiasi kile.

Sasa kwa vile kuna watu jukumu lao ni kuua, watu hao wakitumwa kumuua yoyote, sio jukumu lao kujua amefanya nini, wao wakipewa amri halali ya eliminaons, kazi yao ni tu eliminate, how, ni juu yao!.

Hivyo kwenye Utekelezaji wa eliminaons wao wanatimiza wajibu wao, hivyo kama mlengwa was shortlisted kwenye list ya eliminaons, na akawa eliminated, karma ya eliminaons haiwahusu, hata msome Albadir haiwahusu kwasababu wao walikuwa wanatimiza tuu wajibu wao!.

Ndio maana nimesema kama waliofanya ukatili huu ni watu "wasiojulikana" then karma na Albadir itawahusu lakini kama ni 'wasiojulikana', karma wala Albadir haiwahusu!.
Ndugu, unazunguruka mule mule tu, hata haueleweki!
Ila ili eliminaons ifanyike kihalali, lazima CinC asaini death warrant ya hiyo operation ya eliminaons.

Askari polisi, jeshi na usalama wa taifa, wanapoau kwenye kutimiza majukumu yao, sio dhambi!, hata vifo vya watu wasio na hatia, vinapotokea kwenye operations zozote, hatia ya damu isiyo na hatia sio kwa watekelezaji bali kwa waliopanga na kutoa amri ya Utekelezaji!

Kwa wasio jua tofauti kati ya "wasiojulikana" na 'wasiojulikana' karibu pande hii Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Wasalaam
Jumatano Njema.
Paskali
 
Back
Top Bottom