Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Mtoto wa wasiojulikana ameleta somo ushahidi Ukiwa Yeye mwenyewe!!
 
Hakuna kitu kina justify kuua mtu

Ispokuwa kama mtu ameuua au ana lengo la kuua

We all know your parents were TISS don't do this on counter repetitive inakera sasa
We have many here ambao parents ni TISS
Unaweza weka mada bila including hicho kitu

Tiss Is nothing just an ordinary job like how sisi madaktari tunafanya kazi etc

Watimize majukumu yao ipasavyo inatosha hawana justification za kuua mtu hawana privilege yeyote kuliko mtu yeyote hapa tanzania
Ndio maana akiumwa atakuja hospitali
Akitaka kujenga nyumba atatafta engineer wa ujenzi, wa umeme
Gari likiharibika ataenda garage kabla hajaenda kuua au kuteka

Atapanda ndege hatoendesha yeye they are normal people with lots of entitlements thinking they are different

Mtu anataka kuua kama hamza kill on the spot wengine wape confinement ya muda mrefu

Mbona yule sheikh kakaa confinement muda mrefu tu

Hivi do you know the value ya life ya mtu paskali.?

How sacred life is
 
Mara paap umeingizwa kwenye ile list kwa kutoa siri,
 
Safi uzi huuu una hoja usikilizwee
 
Hapo sasa kuna tofauti ipi?
Killing people ni kama ile ya Israel kwa Wapalestine, unarusha bomu linaua wazee,wakina mama na watoto na pia raia wasio na hatia.
Elimination of Threats ni purposely, Definition ya Threat sio yako wewe bali muuaji na aliyemtuma kuua.
 
Hao Watu uhai wa Watu wengine wanaona Kama takataka tu, uhai wanachukulia kwamba siyo kitu chochote kile Cha maana kwao. Wanafundishwa ukatili au ushetani uliopitiliza. Mathalani, nchini Urusi nje kidogo ya Jiji la Moscow, Watu Wauaji Majasusi wa KGB/FSB wana Chuo chao maalumu Cha kuwafunza 'Watu wao' mbinu za kuweza Kuwafanyia Ukatili Watu wengine, Wanafunzi wanafundishwa mbinu za kuua Watu sambamba na kuwadhuru Watu wengine kwa namna mbalimbali, Kama vile kuwawekea Watu sumu ili kuwaangamiza. Yaani ni hatari tupu. Chuo chao hicho kinaitwa The Red Banners Institute, and the worse enough hata baadhi ya Watu kutoka kwenye hizi taasisi za hapa Tanzania ambazo zinaitwa kuwa ni 'taasis au mamlaka za za usalama' Mara nyingi huwa wakipelekwa huko Urusi ili kupata Mafunzo yao kwa kazi zao.
Mbaya sana kwa kweli.
 
Mumbo jumbo aka bullshit. Ni sawa na kuamini utaenda "mbinguni" au "motoni" baada ya kifo kulingana na matendo yako au "dhambi" wakati wa uhai wako
 
Serikali zote duniani zina utaratibu wake wa kufanya kitu kinachoitwa "elimination" of dissidents.
Sikua najua kwamba Serikali inaajiri majambazi na kuyafanyia training kabisa ya kufanya ujambazi kisha inawatuma kwenda kufanya ujambazi wa kuteka na kuua, huo ni ujambazi nothing more usipewe maneno mazuri mazuri sijui nini sijui nini hakuna ni majambazi
 
Nimeelewa vizuri mada yako Ila uliona mbele kuacha jeshi kwani utaalamu wako wa kulenga shabaha ungekuwa unatumika kwa kazi maalumu Ila nasikitika hawakukutumia kwa shuguri nyingine Kama kulenga shabaha kwenye mashindano ya Olympic .
Jambo moja ambalo sikubaliani na afande wako ni majukumu ya usalama wa taifa hii. linaweza kuwa sababu ya haya yanayotokea kwani kazi y usalama wa Taifa ni kulinda usalama wa nchi ndio maana Marekani walitoa Siri ya kashifa ya Watergate lakini kama wanaajiliwa na kuambiwa kazi yao ni kulinda serikali hapo ndio tatizo linapoanzia, ndio maana tunaona Mambo ya ajabu yanayofanywa na viongozi wetu wakati usalama wa Taifa wapi. Wanashindwa kuchukua hatua kwa sababu wao wameshafundishea kazi yao ni kulinda serikali bila hivyo mikataba mibovu, ufisadi vingekuwa vimepungua kwa kiasi kikubwa na hata vetting za hovyo zingezuiwa.
 
Usiwape majina mazuri hao ni majambazi well trained gangsters
 
Unawagusa watu humu JF.
 
Hakuna binadamu duniani kote mwenye wajibu au haki ya kuua binadamu mwenzake.
I doubt about your reasoning capacity.
 
Hakuna binadamu duniani kote mwenye wajibu au haki ya kuua binadamu mwenzake.
I doubt about your reasoning capacity.
You are Wrong.

Ni kweli kabisa kwamba Kuua ni dhambi, lakini siyo kweli kwamba kila kitendo Cha kuua mtu ni dhambi. Mathalani, kumuua mtu muuaji anayetaka kukuua kwa makusudi siyo dhambi na wala siyo kosa kisheria, Bali ni kitendo Cha kishujaa Cha kujihami dhidi ya adui hatari.
 
Hebu kuwa mkweli! Wewe huwafahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…