Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Nani kakuambia kwamba watekaji, watesaji na wauaji ni Watu wasiojulikana?
Anamaanisha, kuna wasiojurikana ambao ni secret Service operatives, mashushu! , inteligensia, Vijana wa, TISS,makumbusho, pale, Hawa kwa kazi Yao, hawatakiwi "kujurikana" Ila kuna wale "wasiojurikana" Kwa wananchi wa kawaida tu, ila vyombo vya dola vinawajua, ni kama macenary, gun for hire! Contract killers, wapo ccm, uvccm, na mtaani, they are not state sponsored assassins
 
Wanabodi,

Najua wengi wetu wameumizwa sana na kifo cha kikatili cha Mzee Ali Mohamed Kibao, natoa tena pole kwa wote.
Kwa uzi huu wa leo, nina uhakika wewe ni mmoja wa walioumizwa sana kwa aina hii ya usndishi, maana umeamia kubinua beseni la vitumbua kwenye matope. Ngoja niendelee kukusoma.
Watu wamekasirika hadi kuwasomea Albadir, hivyo mimi kama kawaida yangu, kama kuna nakijua, huwa na share, leo naomba kushare kuwaelimisha kidogo kuhusu wauaji na utendaji kazi wa Albadir ambayo inafuata kanuni ya karma.
Ama hakika umeamua ku share.
Je wajua kama walioua ni "wasiojulikana", then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'wasiojulikana', then hata Albadir haiwezi kusaisaidia kitu, kwasababu wauaji hao ni walikuwa wametimiza tuu wajibu wao!.
Naam
Naomba kujitambulisha tena na tena ili kusaidia kuwaelimisha wengine kuhusu utendaji kazi wa kitu kinachoitwa "the operatives", mimi nimezaliwa na wazazi wangu wote wawili, baba na mama, wote ni waserekali.
Enhee!
Sawaa (in MacRegan Voice)
Inaitwa bull's eye (Center of Target)
Kuanzia hapa, inabidi watu waache kusoma haya uliyoyaandika, badala yake waanze kusoma uliyoyaacha
Na sasa unatumia bundiki aina ya pen
To wrapup, umeamua kujigeuza upepo na kulipiga pazia wakati ndani watu wanaoga na wengine wana vaa
 
Pasco andiko lako lina bias. Hizo threats kwanini by coincidence ziwe chadema tu? Je ukijanini huko wapo malaika wa nuru na wazee 24 watakatifu wasujuduo kwenye kiti cha enzi?
 
ndio maana most of intelligence officers wanakuwa na inferiority complex unajua kwa nini? Ni topiki ndefu sana ambapo ilianzia miaka ya 1930s huko russia wakati wa kitu kilijulikana kama great purge enzi ya stalin. Ma spymaster wa huyu stalin. Kigezo mojawapo katika kuwaajiri(recruit) hawa wasiojulikana ni kutambua kama wanayo inferiority complex. Na kulikuwa na sababu genuine sana kuhusu hili. Hiyo ni mada nyingine ndefu.
 
ndio maana most of intelligence officers wanakuwa na inferiority complex unajua kwa nini? Ni topiki ndefu sana ambapo ilianzia miaka ya 1930s huko russia wakati wa kitu kilijulikana kama great purge enzi ya stalin. Ma spymaster wa huyu stalin mmojawapo alijulikana kama sudoplatov Kigezo mojawapo katika kuwaajiri(recruit) hawa wasiojulikana ni kutambua kama wanayo inferiority complex. Na kulikuwa na sababu genuine sana kuhusu hiki kigezo. Hiyo ni mada nyingine ndefu.
 

Waliopanga na kutelekeza mauaji haya ni waovu kweli kweli.

Wapangaji na wauwaji wowote, ni waovu kweli kweli.

Hii yote bila exception!
 
Ndio mkuu
 
Siku hizi watu wameendelea hawasomi albadir bana wanasoma toleo jipya Kurjuan kamuulize mzee Magoma wa Yanga atakuelewesha maana ndiye mwenye hakimiliki ya Kurjuan. Albadir ni analougue imepitwa na wakati siku hizi watu wanasoma Kurujuan ambayo ni digital na inatumia Artificail Intelligence (AI). Hiyo Kurujuan inatumia akili bandia kujua aliyefanya tukio, aliyeshiriki kwa namna yoyote ile, aliyetoa ruhusa tukio litokee, aliyeendesha gari kwenda kwenye tukio, aliyewatuma wafanye tukio, aliyekuwa na taarifa kuwa kuna tukio linaenda kutokea, aliyepokea taarifa za tukio hata aliyewaza tu kuhusu hilo tukio, n.k; Kurujuan inaenda kuwatembelea wote.

Utani utani na Kurjuan tunaweza kuja kuona vichaa namba "E" barabarani hivi karibuni na huku nyeti zikiwa nje zikipigwa upepo.
 
Mtu akikutesa akakuua, maombi hayafanyi kazi pigana mwenyewe. Ingekuwa hizo albadir zinafanya kazi basi Hamas wasingekuwa frontline kupoteza maisha Israel na akina Nyau wangekuwa washaanguka kitambo.
Sahihi
 
Hiyo inaitwa akili mnemba😂
 
MAlipodhurumiwa Ali Kibao na wale wasiojulikana ndo nilikuja kuiona rangi halisi ya Paskali. Hakuonyesha kuumia na kwa uandishi wake huo tunaoambiwa ni wa 'akili kubwa' alionekana yuko upande wa dhulumati.
Mkuu Lodi Dela, Lord Delamere in Kenya karibu pande hizi。
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…