Kama walivyokamatwa waliotupa noti kwenye sherehe ya harusi Mwanza ndivyo waliobandika picha ya Samia kwenye bendera ya taifa wakamatwe

Kama walivyokamatwa waliotupa noti kwenye sherehe ya harusi Mwanza ndivyo waliobandika picha ya Samia kwenye bendera ya taifa wakamatwe

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Bendera ya taifa la Tanzania inalindwa na katiba imo ndani ya katiba ya Jamuhuri ya Tanzania kwa kutaja rangi ilizonazo na vipimo na uwekaji miraba ya hizo rangi. Ilitokea Zanzibar ambako kwa mara ya kwanza zilionekana bendera za taifa la Tanzania zikiwa pamoja na rangi yake imeongezwa picha ya Rais Samia kinyume na maelekezo ya katiba.

Imetokea tena huko Kilosa bendera za Taifa zikiwa zimebandikwa picha ya Rais Samia kinyume na maelekezo ya katiba. Je, bendera ya taifa hivi sasa hailindwi na katiba au hilo linafanyika kwa sababu Rais yuko nje ya katiba?
 
CCM wanasemaje katika hili mkuu maaana Kila ktu nchii hii kipo chini ya ccm
 
Bendera ya taifa la Tanzania inalindwa na katiba imo ndani ya katiba ya Jamuhuri ya Tanzania kwa kutaja rangi ilizonazo na vipimo na uwekaji miraba ya hizo rangi. Ilitokea Zanzibar ambako kwa mara ya kwanza zilionekana bendera za taifa la Tanzania zikiwa pamoja na rangi yake imeongezwa picha ya Rais Samia kinyume na maelekezo ya katiba.

Imetokea tena huko Kilosa bendera za Taifa zikiwa zimebandikwa picha ya Rais Samia kinyume na maelekezo ya katiba. Je, bendera ya taifa hivi sasa hailindwi na katiba au hilo linafanyika kwa sababu Rais yuko nje ya katiba?
Naunga mkono
 
Bendera ya taifa la Tanzania inalindwa na katiba imo ndani ya katiba ya Jamuhuri ya Tanzania kwa kutaja rangi ilizonazo na vipimo na uwekaji miraba ya hizo rangi. Ilitokea Zanzibar ambako kwa mara ya kwanza zilionekana bendera za taifa la Tanzania zikiwa pamoja na rangi yake imeongezwa picha ya Rais Samia kinyume na maelekezo ya katiba.

Imetokea tena huko Kilosa bendera za Taifa zikiwa zimebandikwa picha ya Rais Samia kinyume na maelekezo ya katiba. Je, bendera ya taifa hivi sasa hailindwi na katiba au hilo linafanyika kwa sababu Rais yuko nje ya katiba?
Tuone picha kwanza ndo tuchangie mada
 
Wenye jukumu la kushughulikia ni walamba "matak#" wa wanaotakiwa kukemea
 
Bendera ya taifa la Tanzania inalindwa na katiba imo ndani ya katiba ya Jamuhuri ya Tanzania kwa kutaja rangi ilizonazo na vipimo na uwekaji miraba ya hizo rangi. Ilitokea Zanzibar ambako kwa mara ya kwanza zilionekana bendera za taifa la Tanzania zikiwa pamoja na rangi yake imeongezwa picha ya Rais Samia kinyume na maelekezo ya katiba.

Imetokea tena huko Kilosa bendera za Taifa zikiwa zimebandikwa picha ya Rais Samia kinyume na maelekezo ya katiba. Je, bendera ya taifa hivi sasa hailindwi na katiba au hilo linafanyika kwa sababu Rais yuko nje ya katiba?
Weka picha
 
Back
Top Bottom