Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Chama cha Umoja Party ambacho ndio kilikuwa chama cha kutetea legecy ya Jemedari Hayati Magufuli kimekataliwa kupewa usajili licha ya kuwa na vigezo vyote
Ni dhahiri serikali ya sasa inaogopa nguvu ambayo chama hiki kingekuwa nayo na kingeitoa CCM madarakani
Sasa kwa kuwa chama cha TLP kilikuwa chama rafiki wa JPM na hata kipindi kile kukiwa na tishio kuwa CCM isingempa JPM muhula wa pili, Mwenyekiti wa TLP Augustino Lyatonga Mrema (RIP) alitamka wazi wazi bila kuogopa kuwa kama CCM wasingempa JPM nafasi basi TLP ingempa
Hii inaonyesha ni jinsi gani TLP unavyoendana na falsafa za JPM
Natumaini Polepole, Bashiru, Luhaga Mpina, Ndugai, Msukuma na wanamapinduzi wengine tutajiunga na hiki chama kuendeleza legacy ya JPM
Ni dhahiri serikali ya sasa inaogopa nguvu ambayo chama hiki kingekuwa nayo na kingeitoa CCM madarakani
Sasa kwa kuwa chama cha TLP kilikuwa chama rafiki wa JPM na hata kipindi kile kukiwa na tishio kuwa CCM isingempa JPM muhula wa pili, Mwenyekiti wa TLP Augustino Lyatonga Mrema (RIP) alitamka wazi wazi bila kuogopa kuwa kama CCM wasingempa JPM nafasi basi TLP ingempa
Hii inaonyesha ni jinsi gani TLP unavyoendana na falsafa za JPM
Natumaini Polepole, Bashiru, Luhaga Mpina, Ndugai, Msukuma na wanamapinduzi wengine tutajiunga na hiki chama kuendeleza legacy ya JPM