Kama wana CHADEMA 'wanaozunguka' kuomba 'Kura' za Halima Mdee 'Kawe' wana 'Udhaifu' huu, basi 'namtabiria' Askofu Gwajima Ushindi asubuhi tu!


narudia tena,huu uiinga cdm unakwenda kuwaponza sana.

kama kazi ya mhunge ni kwenda kukata viuno bungeni,tutajua mwaka huu.

unaandika nini wewe???
 
mkuu, sisi wakazi wa Kawe siyo kama wa huko kwenu Buza. huku kwetu tuna jambo letu na MATAGA - hata Bashite aliufyata.

Bashite alijipitishapitisha huku kwa kununulia watu na makanisa magari, majenereta, nk... akaona bado hatusomeki akakimbilia Kigamboni.

seuze huyu steringi wa movie za X?
 
Watu wanamlaumu mtoa mada while sio yeye aliekua anauliza maswali au kuyajibu maswali...

Yeye amefanya kutoa report tu habari km ilivyo, and probably kutoa angalizo vijana wanolewe kwanza, wakirudi field wawe wameiva...Mtoa mada amekua mjumbe tu,na mjumbe hauwawi...heb tujifunze kuchukua mapungufu yetu na kuyafanyia kazi instead of being defensive on them.

Anything negative abt upinzani watu wanatoka mapovu km yote, hili linanipa waswas upinzani ukishinda hali itakuaje...Je utakua teyari kukosolewa? au ndo itakua tunatoa mbabe mmoja tunaweka wengine...??

Anyway ni mtazamo wangu tu,Great thinker msijenge chuki..tupo hapa kujenga nyumba moja Tanzania no need for hate or Matusi.
 
Swala liko hivi: kinachotakiwa ni kwamba watu tupige kura nyingi dhidi ya ccm ili tuwaondoe madarakani kusudi tuone akina Halima nao wakiwa na serikali watafanya nini.

Hapo ndipo tutakuwa tumewatendea haki akina Halima maanake sasa wao ndio watakaokuwa wanakusanya kodi zetu, lkn hili la kumlaumu sasa sio haki.

Nchi hii kwa ujumla bado maendeleo ni changamoto kubwa sana katika maeneo karibu yote ya nchi kiasi kwamba kama ni kulaumu wabunge basi leo hii tusingepaswa hata kwenda kwenye uchaguzi kupiga kura. Itakuwa ni kupoteza muda tu.
 
Bi kidude hajaolewa? Cha ajabu hapo nini?


Aliyeolewa huyu hapa anakukatia mauno , mwanamume mzima , au ndio kazi ya Askofu inafanya kazi
 

Attachments

  • Mauno CCM.mp4
    9.6 MB
Kwa umri wako bila shaka ni mtu mzima ilo sina shaka nalo!!kinachonipa mashaka ni uelewa wako!!yaani kwa umri huo hujui hata kazi za mbunge ni zipi?!!unakaa unaamini kabisa kuwa mbunge anaweza kukuletea maendeleo?!!nimekudharau sana,wale mbuzi waliokuwa wanatafuna mabango ya picha ya tapeli gwajima,wanakuzidi maarifa.
 
Halima hafai
Gwajima hafai zaidi...
Halima hafai kuwa mbunge.
Gwajima hafai kuwa hata mgombea tu..

Kawe mwaka huu I wish wawakatae wote
Tuna mtihani sana mkuu. Binafsi nimemuunga mkono Gwajima ili kuona kama walau tutapata msemaji wa mambo ya Kawe.

Halima alijisahau sana, jimboni haonekani, bungeni ni madongo kwa "jiwe" tu huku Kawe haisikiki kabisa ikisemewa.

Chaguzi zote nilimchagua Mdee ila safari hii HAPANA.
 
Kama Halima Mdee anaonyesha kwa dhahiri kabisa kuwa hatoshi kwa kipindi hiki, na huku Gwajima naye ni "reject" basi ni lazima wana Kawe tujielekeze kwa mgombea wa ACT - Wazalendo. Huyu "second runner up" ndiye mtu sahihi kwetu, kwa sababu ya msimamo thabiti wa Maalim Seif.
 
Mkuu nisikufiche hii 'post' yako imeanza 'Kunishawishi' tarehe 28 Oktoba 2020 nimpige tu 'Kura' yangu Rais JPM, ila kwa 'Ubunge' nisipoteze Muda.
Mkuu mbona wewe mjanja? Kwa nini unapoteza kura yako hiyo ya urais kwa kumpa aliyeshindwa tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…