Kama wananchi wanalipa kodi kwanini mnashinikiza wafanye usafi mitaani? Halmshauri za miji zimeshindwa kujisimamia?

Kama wananchi wanalipa kodi kwanini mnashinikiza wafanye usafi mitaani? Halmshauri za miji zimeshindwa kujisimamia?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Iwe ni serikali kuu au serikali za miji huwa zinakusanya kodi na kutenga mapato kwa ajili ya usafi na wa miji hiyo. Sasa hili la kusumbua watu Jumamosi kwa ajili ya usafi mabarabarani linatoka wapi? Hizo pesa zinatumka kwa ajili ya nini?
image_search_1643436049209.jpg
 
Back
Top Bottom