Pre GE2025 Kama wanawake wanaweza kuongoza katika siasa inakuaje hawawezi kuongoza katika dini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni wakati sasa Samia apewe na umufti wa Tanzania
 
Huko Syria hakuna hata mwanamke mmoja anataka uongozi hata Uwaziri wa afya 🤣

Wanawake ni Watu makini sana kuvizia mtu/Watu wafanikiwe alafu wale matunda bila jasho
 
Utendaji wa Mungu ni tofauti kabisa na sisi wanadamu ndio maana tunasema akili za Mungu azichunguziki.
Kusoma vitabu vya Mungu na kumuelewa Mungu inabidi tuwe na Roho mtakati.

Angalizo,
Mwanamke amekuwa mwanadamu anayetumika mahali popote katika mazingira magumu kwasababu walipewa akili nyingi na hekima kuliko sisi wanaume ndio maana wanaitwa wasaidizi bali sisi wanaume tulipewa Imani na Kutawala.
Rais Samia yupo nafasi ya Urais kwa sasa muda wake wa kuwepo kwenye hicho kiti ukikamilika atamkabidhi mtu mwingine kama apemdavyo Mungu aliyeziumba Mbinguni na nchi alivyopanga na hakuna wa kubatilisha hilo tukae kwa kutulia.
 
Hapana!!! tunapowaoa wanawake wanakuwa sio 2nd person bali tunakuwa mwili mmoja sema tu wao wanakuwa ni wasaidizi na kawaida msaidizi anaakili nyingi kuliko anayesaidiwa. It is what it is tusipoteze maana.
 
Dini ni maswala ya kiroho zaidi,na siasa ni mambo ya kimwili zaidi so haviingiliani
 
KWani kuongoza ktk dini unataka hd awe padri au shehe? Wachungaji huwaoni akina mfalme zumaridi? Tunafuata mafundisho ya vitabu vyetu na si mafundisho ya elimu dunia, kwenye ufuatliaji wako wa biblia takatifu au quruan tufuku ulishaona sehemu mwanamke kaongoza ibada au kusimamia madhabahu?
 
Wewe ushawahi kuona mtume mwanamke? Kama hapana basi nani ni nani mpaka avunje utaratibu wa miaka 1000 kadhaa iliyopita.
 
Sio
Dini ni maswala ya kiroho zaidi,na siasa ni mambo ya kimwili zaidi so haviingiliani
Sio kweli kuwa siasa na dini haviingiliani hapana kwasababu mambo yote yanaanzia rohoni.

Ukweli usio pingika ni kuwa mtu anayefanya mambo ya siasa anatakiwa awe na uwezo mkubwa wa kujua mambo ya kiroho vinginevyo atapotosha kila kitu kwasababu ni kipofu.
Bahati mbaya sana tumepotea mazima ingawa kwa nje inaonekana tupo njia sahii.

Biblia imeandika hivi

Mithali 14:12​

Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.​

I m 100% sure on that kwasababu najua na ashukuliwe Mungu wa
mbinguni ameingilia kati kwa sasa kila kitu kipo chini ya utawala wake mwenyewe. Rais Samia ni mwanamke na mwanamke kibiblia ni kanisa/Roho Mtakatifu. ( ufunuo 12: 1)
In short utaratibu wa kuendesha Taifa la Tanzania password zote zimebadilika kwa sasa and soon no later yataanza kutimia kwenye mwili ingawa mengine yameshaanza kutimia.
 
Kama hakuna sheykhat ilo jina umelitoa wap 😁
 
Nipe fact kwanni unasema hivo
Kwenye siasa kama ni demokrasia inakubidi utumie hoja, ushawishi na maarifa mengi sana, kama ni kwenye uimla itakubdi uongoze na matumizi ya nguvu. Kwenye dini unaongoza kwa muongozo usio na mjadala au usiohojiwa.
 
Kwenye siasa kama ni demokrasia inakubidi utumie hoja, ushawishi na maarifa mengi sana, kama ni kwenye uimla itakubdi uongoze na matumizi ya nguvu. Kwenye dini unaongoza kwa muongozo usio na mjadala au usiohojiwa.
Sasa kwa kifupi ni uongo dini maana yake njia na ktk dini ya kikristo njia maana yake Yesu Kristo ndiye njia ya kweli na uzima kwahiyo kwenye dini dhamila inatoka ndani ya Moyo unakuwa ni mkweli.
In short hakuna mtu yeyote anatakiwa kuwa mwanasiasa na hana knowledge ya mambo ya kiroho kwa ufasaa
Tunajiendea tu matokeo yake tunapotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…