pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Shime wote wapenda haki, kama mnavyoona wao wameungana kwenye batili na dhulma na wizi wa mali ya serikali, basi ni wajibu wetu na sie tuungane kutetea na kulinda mali ya serikali yetu,
waliiba sana miaka na miaka sasa, sasa mirija inazibwa wanadai kuwa tayari hata inchi isitawalike?
Karibu sana dp, tuko pamoja nanyi kupiga vita mafisadi tukishirikiana na serikali yetu
waliiba sana miaka na miaka sasa, sasa mirija inazibwa wanadai kuwa tayari hata inchi isitawalike?
Karibu sana dp, tuko pamoja nanyi kupiga vita mafisadi tukishirikiana na serikali yetu