Uchaguzi 2020 Kama wapinzani wanaohamia CCM wanaahidiwa kugombea, Je CCM asilia hawatagombea uchaguzi ujao?

Uchaguzi 2020 Kama wapinzani wanaohamia CCM wanaahidiwa kugombea, Je CCM asilia hawatagombea uchaguzi ujao?

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Kulingana upepo wa kisiasa ulivyo kwa Sasa Ni dhahiri Sasa wapinzani wengi Wana hofu ya kukosa ubunge kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, na ndio maana wengi wao wameamua kukimbilia Chama Cha Mapinduzi ili kuweza kuona kama wanaweza kurudi bungeni.

Nimekuwa nikijiuliza Sana hili swali kwamba Kama kweli wapinzani wanaohamia CCM wanahama kwa lengo la kugombea kwenye uchaguzi ujao.

Je, CCM asilia hawatapata fursa ya kuogombea mwaka huu?
 
Sasa kama ndiyo malipo waliyokubaliana walipwe si itabidi walipwe. Mwenyekiti ndiye kashaamua nani ampinge?
 
Kulingana upepo wa kisiasa ulivyo kwa Sasa Ni dhahiri Sasa wapinzani wengi Wana hofu ya kukosa ubunge kwenye uchaguzi wa octoba mwaka huu, na ndio maana wengi wao wameamua kukimbilia vhama Cha mapinduzi ili kuweza kuona Kama wanaweza kurudi bungeni.

Nimekuwa nikjiuliza Sana hili swali kwamba Kama kweli wapinzani wanaohamia CCM wanahama kwa lengo la kugombea kwenye uchaguzi ujao,

Je, CCM asilia hawatapata fursa ya kuogombea mwaka huu?
CCM Asilia hawana madhara hata wasipogombea kwani wanakipenda chama wao waendelee kukipigania chama Wageni wagombee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jiwe litakalobaki....Kwani Makamba aliposema huyu awabatiza kwa moto alikosea, Uzee ni hazina!
 
Ccm masalia wasubirie awamu nyingine kama itakayokuwepo hii ni ya ccm tumbo
 
Kulingana upepo wa kisiasa ulivyo kwa Sasa Ni dhahiri Sasa wapinzani wengi Wana hofu ya kukosa ubunge kwenye uchaguzi wa octoba mwaka huu, na ndio maana wengi wao wameamua kukimbilia vhama Cha mapinduzi ili kuweza kuona Kama wanaweza kurudi bungeni.

Nimekuwa nikjiuliza Sana hili swali kwamba Kama kweli wapinzani wanaohamia CCM wanahama kwa lengo la kugombea kwenye uchaguzi ujao.

Je, CCM asilia hawatapata fursa ya kuogombea mwaka huu?

Hawa watu hawana kinachowashinda isipokuwa Time Huru ya Uchaguzi au Katiba Mpya ya Wananchi.
Usishangae wakapeleka muswada Bungeni kwa hati ya dharura ili wataongeze majimbo au watakuwa na wagombea zaidi ya mmoja kila jimbo au kianzishwe cheo cha naibu diwani/Mbunge/Rais.

Watanzania wenzangu,tudai Katiba ya Wananchi haraka.Muda unapita haraka na jamaa zetu wanaomba Mungu tuendelee kujisahau ili waseme muda hautoshi na dalili za hili zimeanza kuonekana(Mchakato wa Katiba ni kiporo kilichochacha?)Tuulize nani kakichachusha na na ni wa kutulipa fedha zetu walizotumia kujilipa posho nono wakati ule?
 
Watagombea.

Ukiacha hawa wahamiaji, CCM ilikuwa inashikilia majimbo mengi tu ambayo wanaccm asilia watagombea.

Hawa mnaodai wanaahidiwa ni kwa yale majimbo yalivyokuwa upinzani. Maana yake mwisho wa siku hayo majimbo yatarudi CCM.

Hata hivyo, hiyo sio guarantee. Kwani hauoni wengine wanapewa Uratibu kata sijui. 😁😁
 
kuna ambao watapoteza nyazfa zao, ndo hapo majuto yatakapokuja sasa
 
CCM Asili ni wazalendo wapigiwe makofi 👏🏾👏🏾👏🏾 inatosha
 
Watagombea.

Ukiacha hawa wahamiaji, CCM ilikuwa inashikilia majimbo mengi tu ambayo wanaccm asilia watagombea.

Hawa mnaodai wanaahidiwa ni kwa yale majimbo yalivyokuwa upinzani. Maana yake mwisho wa siku hayo majimbo yatarudi CCM.

Hata hivyo, hiyo sio guarantee. Kwani hauoni wengine wanapewa Uratibu kata sijui. [emoji16][emoji16]
Mkuu haya yanayoendelea siyo Kwenye Majimbo ya Upinzani pekee, hata kwenye Majimbo yaliyo chini ya ccm bado kule atawasimamisha Wagombea wake. Hivyo msije shangaa Mkuu wa Wilaya/Mkoa ama Watumishi wengine wakisimamishwa kama Wagombea huku watetezi wa Majimbo yale wakipigwa pembeni na M/K ccm Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu haya yanayoendelea siyo Kwenye Majimbo ya Upinzani pekee, hata kwenye Majimbo yaliyo chini ya ccm bado kule atawasimamisha Wagombea wake. Hivyo msije shangaa Mkuu wa Wilaya/Mkoa ama Watumishi wengine wakisimamishwa kama Wagombea huku watetezi wa Majimbo yale wakipigwa pembeni na M/K ccm Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Mkuu, kuna Mbunge yeyote wa CCM aliyeacha Ubunge akahamia CCM kwa ahadi ya kupewa nafasi 2020?
 
Watagombea.

Ukiacha hawa wahamiaji, CCM ilikuwa inashikilia majimbo mengi tu ambayo wanaccm asilia watagombea.

Hawa mnaodai wanaahidiwa ni kwa yale majimbo yalivyokuwa upinzani. Maana yake mwisho wa siku hayo majimbo yatarudi CCM.

Hata hivyo, hiyo sio guarantee. Kwani hauoni wengine wanapewa Uratibu kata sijui. 😁😁

Poa lakini kumbuka kuwa hata hayo majimbo yaliyokuwa chini ya upinzani Kuna wanaccm asilia ambao wanatamani kugombea ukiacha Hawa wahamiaji
 
Hawa watu hawana kinachowashinda isipokuwa Time Huru ya Uchaguzi au Katiba Mpya ya Wananchi.
Usishangae wakapeleka muswada Bungeni kwa hati ya dharura ili wataongeze majimbo au watakuwa na wagombea zaidi ya mmoja kila jimbo au kianzishwe cheo cha naibu diwani/Mbunge/Rais.

Watanzania wenzangu,tudai Katiba ya Wananchi haraka.Muda unapita haraka na jamaa zetu wanaomba Mungu tuendelee kujisahau ili waseme muda hautoshi na dalili za hili zimeanza kuonekana(Mchakato wa Katiba ni kiporo kilichochacha?)Tuulize nani kakichachusha na na ni wa kutulipa fedha zetu walizotumia kujilipa posho nono wakati ule?
Na kweli CCM haishindwi kufanya hivo
 
Kulingana upepo wa kisiasa ulivyo kwa Sasa Ni dhahiri Sasa wapinzani wengi Wana hofu ya kukosa ubunge kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, na ndio maana wengi wao wameamua kukimbilia Chama Cha Mapinduzi ili kuweza kuona kama wanaweza kurudi bungeni.

Nimekuwa nikijiuliza Sana hili swali kwamba Kama kweli wapinzani wanaohamia CCM wanahama kwa lengo la kugombea kwenye uchaguzi ujao.

Je, CCM asilia hawatapata fursa ya kuogombea mwaka huu?
CCM asilia ni mazwazwa wamekiachia chama mikononi mwa washamba wa kuja wamebaki kukenua kenua na kuwasifia hao washamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom