Yaani Wanasheria wa Serikali walinishangaza sana kuleta ushahidi ambao unaonesha watu hawakuwekwa lock-up pale TAZARA wakati wahusika wanajua kabisa waliwekwa lock-up hiyo.
Mashahidi wa Serikali walishadadia sana kwa ushahidi wa sijui Jumanne yule kuonesha kuwa eti watuhumiwa hawakuwa lock-up ya TAZARA.
Yaani hata nafsi na mioyoni mwao wanajua ukweli huu dhahiri kabisa kuwa waliwaweka hawa watuhumiwa lock-up ya TAZARA bila kufuata taratibu za kuwaandikisha ili isijulikane kabisa wako wapi.
Walifikia mpaka kuamua kuwapa watumiwa majina ya bandia ili hata kule Mbweni wasijulikane kama wapo! Hii yote ilimradi tu kuwaficha.
Tena kama inawezekana zile dentition register za Mbweni zingepatikana ingejulikana kabisa kuwa watuhumiwa waliandikishwa kwa majina bandia.
Serikali mnataka nini na kesi hii mbaya inayozidisha chuki hapa nchini mwetu. Tayari ubaya wa akina Kingai na kundi lake unajulikana.
Utaratibu wa utendaji wao hauwezi kamwe kuwakwepesha na kupotea kwa akina Ben Saa 8 na Azory! Ni suala la muda tu - kila kitu kitakuja kuwa wazi na Rais wangu Samia nina uhakina anawacheki tu mnavyombwela mbwela!
Mashahidi wa Serikali walishadadia sana kwa ushahidi wa sijui Jumanne yule kuonesha kuwa eti watuhumiwa hawakuwa lock-up ya TAZARA.
Yaani hata nafsi na mioyoni mwao wanajua ukweli huu dhahiri kabisa kuwa waliwaweka hawa watuhumiwa lock-up ya TAZARA bila kufuata taratibu za kuwaandikisha ili isijulikane kabisa wako wapi.
Walifikia mpaka kuamua kuwapa watumiwa majina ya bandia ili hata kule Mbweni wasijulikane kama wapo! Hii yote ilimradi tu kuwaficha.
Tena kama inawezekana zile dentition register za Mbweni zingepatikana ingejulikana kabisa kuwa watuhumiwa waliandikishwa kwa majina bandia.
Serikali mnataka nini na kesi hii mbaya inayozidisha chuki hapa nchini mwetu. Tayari ubaya wa akina Kingai na kundi lake unajulikana.
Utaratibu wa utendaji wao hauwezi kamwe kuwakwepesha na kupotea kwa akina Ben Saa 8 na Azory! Ni suala la muda tu - kila kitu kitakuja kuwa wazi na Rais wangu Samia nina uhakina anawacheki tu mnavyombwela mbwela!