Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Still wanauwezo wa kuishi pamoja na ufupi wa kamba zao...Kila mmoja hupewa fungu lakeMbuzi wengine wana kamba fupi kuliko bamia. Hata kugeuza shingo haiwezkani...
Naona forex haijakutupa mkuuNataka nifikie hatua ya mishahara ya miezi kadhaa ikutane...
Wa mwezi uliopita na mwezi huu itakutana!!
Kama huna bajeti jua umaskini utakumaliza!!
Well said!Hapo ndo utajua kuwa mpaji ni Mungu kila mtu ana fungu lake
God is good all the time,kama ndege hawafanyi kazi lakini wanakula iweje hashindwe kumpa ridhiki kiumbe alichoumba kwa mfano wake? Nakushauri manage kipato chako,tumia kulingana kipato usitanue upaja wakati msuli mdogo.Najiuliza tu hapa kama nina kazi na mshahara haumalizi hata mwez na sina majukum kiviiiile, hivi ambao hawana kaz kabisa wanaoshijeeee
Au ni mimi tu na matumiz yangu!!!
Kweli kabisa!!!God is good all the time,kama ndege hawafanyi kazi lakini wanakula iweje hashindwe kumpa ridhiki kiumbe alichoumba kwa mfano wake? Nakushauri manage kipato chako,tumia kulingana kipato usitanue upaja wakati msuli mdogo.
Wazazi wetu wametulea kwa biashara na misingi penenge,kama unapata kwa mwezi laki na 50 ishi kikilo na nusu maisha yataenda,kama management ya pesa ni ndogo hata ukilipwa 4m kwa mwezi utaona ni ndogo.