Yaani hata ukiuplay wimbo wa msanii mwingine unakuja huo au ni unauona huo tu? Cheki hizo nyimbo kwenye browser unayotumia kudownloadia kama ni app ya jf fungua app ya downloads angalia kama zilimaliza zoteYah,zote nime download ila inapiga hiyo moja na inajirudia hata mara 20 ,zingine sizioni kabsa,zinaingia internal,sina ext
Saaaanaakiweka sophiaaaaaa itakua imekaa powa sanaaaa
Nisiongee sana, ila humu kuna Hamisa wa Remmy ambao ameufanyia refix, kuna bonge la sebene. Halafu kuna ile original.Uliposema wahenga nikajua ni nyimbo za 1980's huko, nikaja faster
Ewaaaa hapa sasa tunaongea lugha mojaNisiongee sana, ila humu kuna Hamisa wa Remmy ambao ameufanyia refix, kuna bonge la sebene. Halafu kuna ile original.
Enjoy
Mkuu zikitupiwa hizo niite faster!!!hahaha niwekee za dani msimamo tafadhali
Hahahaha....mie mwenyewe nimefungua fasta kumbe dooo....Uliposema wahenga nikajua ni nyimbo za 1980's huko, nikaja faster
Hiyo nachechemea siyo OTTU jazzBonus hizi hapa