Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Heshima kwenu wadau.
Nimekuja kukuonyesha na kukupa miongoni mwa nyimbo zilizotamba miaka hiyo. Miongoni kuna hadi nyimbo za kwanza za baadhi ya wasanii.
Wengine hawatakuja kutoa wimbo mkali kama ambao nitaweka hapa.
Enzi hizo za kusikiliza Radio kuna nyimbo zilikua zinachezwa halafu unapata picha hawa jamaa ni washua. Hapa kuna Big Jah Man
Halafu na Dolphin Pose
Mwingine ni Dataz.
Wanamuziki wengine hawatokuja kutoa ngoma nzuri tena hata wafanyaje kuna Fid Q na Fid q.com, K Basil na Ridhiki halafu Mh Temba na Wimbo wa Nakumaindi.
Halafu kuna zile ngoma kali ambazo zinakutikisa kichwa bila kutaka.
Kuna kamanda ya Daz Nundaz, Mr 2 Niamini na Crazy GK na Tutakukumbuka.
Kuna wasanii walitamba lakini walikua na genre yao kabisa kabisa, mfano Kali P na Dudubaya.
Kwa wanaojua hip-hop kwa Tz watajua waanzilishi ni HBC na Prof Jay.
Kuna kipindi kikaja cha kuusiana kuhusu ulevi, Suma G akaimba Pombe, Solid Ground wakatoa Athman Mlevi, halafu wakausia kuhusu michepuko na wimbo Baba Jeni.
Kuna mshkaji alifanya kama mapinduzi hivi akatoa wimbo unaitwa Baby Gal, yeye anaitwa Mad Ice.
Kuna ving'ang'anizi wa kwenye fani. Mmojawapo Dully Sykes na Madii.
Airtel wanasena nimetumia 90% ya kifurushi, natoka one time baadae nitaweka za bolingo.
Pia jua kwamba wimbo ni umoja na nyimbo ni nyingi
Update.....
Wahenga wa Kale ifuateni post namba 24 na 26
Nimekuja kukuonyesha na kukupa miongoni mwa nyimbo zilizotamba miaka hiyo. Miongoni kuna hadi nyimbo za kwanza za baadhi ya wasanii.
Wengine hawatakuja kutoa wimbo mkali kama ambao nitaweka hapa.
Enzi hizo za kusikiliza Radio kuna nyimbo zilikua zinachezwa halafu unapata picha hawa jamaa ni washua. Hapa kuna Big Jah Man
Halafu na Dolphin Pose
Mwingine ni Dataz.
Wanamuziki wengine hawatokuja kutoa ngoma nzuri tena hata wafanyaje kuna Fid Q na Fid q.com, K Basil na Ridhiki halafu Mh Temba na Wimbo wa Nakumaindi.
Halafu kuna zile ngoma kali ambazo zinakutikisa kichwa bila kutaka.
Kuna kamanda ya Daz Nundaz, Mr 2 Niamini na Crazy GK na Tutakukumbuka.
Kuna wasanii walitamba lakini walikua na genre yao kabisa kabisa, mfano Kali P na Dudubaya.
Kwa wanaojua hip-hop kwa Tz watajua waanzilishi ni HBC na Prof Jay.
Kuna kipindi kikaja cha kuusiana kuhusu ulevi, Suma G akaimba Pombe, Solid Ground wakatoa Athman Mlevi, halafu wakausia kuhusu michepuko na wimbo Baba Jeni.
Kuna mshkaji alifanya kama mapinduzi hivi akatoa wimbo unaitwa Baby Gal, yeye anaitwa Mad Ice.
Kuna ving'ang'anizi wa kwenye fani. Mmojawapo Dully Sykes na Madii.
Airtel wanasena nimetumia 90% ya kifurushi, natoka one time baadae nitaweka za bolingo.
Pia jua kwamba wimbo ni umoja na nyimbo ni nyingi
Update.....
Wahenga wa Kale ifuateni post namba 24 na 26
Attachments
-
Big Jah Man ft Medy Pac-Ananikunywa.mp33.1 MB · Views: 179
-
Dolphin Posse - Ni Rafiki Tu.mp32.9 MB · Views: 154
-
Dataz ft Joan-Mume Wa Mtu~By Bafashahisw@ Mp3.mp33.2 MB · Views: 142
-
Fid Q.Com-Fid Q~By Bafashahisw@ Mp3.mp33.2 MB · Views: 121
-
K Basil - Riziki.mp34.6 MB · Views: 158
-
Mh Temba-Nakumaindi~By Bafashahisw@ Mp3.mp33.5 MB · Views: 147
-
DAZ NUNDAZ - KAMANDA.mp38.6 MB · Views: 134
-
MR. 2-NIAMINI~By Bafashahisw@ Mp3.mp34.4 MB · Views: 139
-
King Crazy GK ft TID Tunakukumbuka~By Bafashahisw@ Mp3.mp38.3 MB · Views: 135
-
KALI P - IMEKAA VIBAYA.mp34.1 MB · Views: 160
-
Kali P Tumbo joto.mp33.4 MB · Views: 154
-
Dudu Baya Bongo dukinaa.mp38.1 MB · Views: 108
-
PROF JAY - BONGO DARESALAM.mp39.9 MB · Views: 129
-
Hard Blaster Crew Chemsha bongo.mp33.8 MB · Views: 143
-
SOLID GRND FAMILY Athumani mlevi~By Bafashahisw@ Mp3.mp34.9 MB · Views: 177
-
Solid ground family - Baba jeni~By Bafashahisw@ Mp3.MP312.9 MB · Views: 160
-
Mad Ice-Baby Girl.mp33.1 MB · Views: 142
-
DULLY - JULIETA.MP37.1 MB · Views: 122
-
Madii ft Man Dojo,Domokaya-Kazi Yake Mola~By Bafashahisw@ Mp3.mp33.1 MB · Views: 163