Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.

Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!

Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana[emoji1430]

Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.

Uzi tayari

Ni kweli mkuu, Ni bora apende wine ila muwe mnakunywa pamoja. Sasa unakuta anakwambia napenda wine alfu sasa anakwambia kunywea home sipati vibe [emoji16][emoji16]. Haya mambo magumu sana
 
Naanzaje kuacha sasa. Mr mwenyewe ananinunulia na siku nikiacha pombe anaweza kuniacha akatafute anae kunywa.
Mitungiiii blantiiiii mikasiiiii ndo mpango mzima.

giphy.gif
 
Ni kweli mkuu, Ni bora apende wine ila muwe mnakunywa pamoja. Sasa unakuta anakwambia napenda wine alfu sasa anakwambia kunywea home sipati vibe [emoji16][emoji16]. Haya mambo magumu sana
bro hata mkiwa mnakunywa pamoja
kuna siku utakua mbali naye tu, life halina guarantee, ukiwa mpambanaji lazma tu utatoka uwe mfanyakaz, mfanya biashara utatoka tu, je hato kunywa hadi utakapo rudi?!, jibu ni hapana hapo ndipo tatzo huanzia
ukute sasa mdada akinywa wine anaanza kuwa na hisia weee
ataigawa kama nn, tena bureeeee
 
Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.

Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!

Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana[emoji1430]

Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.

Uzi tayari
Pombe ni one of the factors....!! Lakini kuna mengine mengi tu yanaweza kupekekea kugongewa.. kwa mfano;

1. Huna hela na mijamaa inayomzunguka inazo,

2. Huna proper means ya usafiri.. eg. gari

3. Hupigi show ya kueleweka. Unagegeda Kama unafanya maombi

etc
 
Back
Top Bottom