Kama wewe ni muajiriwa na kipato chako na taarifa zako limited sio lazima uanzishe biashara. Utalia na kusaga meno

Kama wewe ni muajiriwa na kipato chako na taarifa zako limited sio lazima uanzishe biashara. Utalia na kusaga meno

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Endeleeni tu

Motivational speaker anakula hela ya kiingilio weee unarudi kuuza nyumba ya urithi uka bet, kwa kusema kufeli sio kuanguka

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ₯³
Ulishawahi kufanya biashara ikapata changamoto ikafeli? Ulifanyaje au ndo ukalala baada ya kufeli? Au haujawahi kufanya?

Kama haujawahi basi mkuu twende tu kwenye uzi wa kula tunda kimasihara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
siku nimehudhuria semina ya UTT ndio nikajua wengi tunaweka pesa bank na bado kuna makato. Wakati kuna soko la fedha kama fixed deposits ama bonds za serikali ambazo zinatoa riba kwa muwekezaji

Kwa hiyo naamini kama mtu hana ujuzi wala udhoefu wa biashara. Aanze mdogo mdogo ili kulijua soko na wateja kabla ya kuwekeza milioni kumi kwa biashara ambayo huijui.

Hivyo ni aidha uanze mdogo mdogo au uwekeze kwenye biashara zenye risk ndogo kama hizo bonds ama kuizika pesa kwenye nyumba au viwanja maana thamani yake inapanda na si kushuka.
Mwaka huu ntaanza kuwekeza UTT nione faida yake kwa huu mwaka
 
Pia sio lazima kufeli.
Kufeli kupooo mkuu.. Ni watu wachache sana wasiofeli na hawa ni wale ambao unakutaka kasomea kitu kinachoendana na natural abilities zake halafu anaanza na kismati cha kupata watu sahihi katika muda sahihi. Mtu kama huyu huwa hafeli ila anafanya mistakes ndogo ndogo

Ila kwa tuliobakia na haswa uwe ni mtu unaejitafuta mbona unafeli consistently na hadi ujipate muda ushaenda.

Ila katika muda unasubiria huko kujipata, Mungu akusaidie ujipate mapema Ila ukichelewa. Kila mtu anageuka mshauri na mtabiri wa kwa nini umeshindwa.

Kipindi hiki hakuna rangi utaacha kuona Ila ukitoboa ndio kila mtu anajisogeza karibu.

Mimi kwa sasa nikisikia tajiri ana roho mbaya huwa sishangai maana najua wengi wanaoongea hivyo ni wale waliojitenga juani Ila wakati wa kimvuli wanajisogeza ili wamtumie. Wakikutana na ukuta ndio wanalalamika
 
Dah sijui kwa nini naamini kwenye kilimo na ufugaji zaidiπŸ€”
Kwa nilioyaona kupitia watu wangu..

Kilimo kama una pesa, taarifa na watu sahihi. Hakishindikani kitu maana hata umwagiliaji unaweza kufanya Ila kama unategema mvua na umeingia kichwa kichwa. Unaweza kulia vibaya

But kama unaamini brother. Go for it mkuu
 
Mwaka huu ntaanza kuwekeza UTT nione faida yake kwa huu mwaka
Nenda kwenye jengo lao sukari house posta. Pale kila siku wana darasa la kujifunza unless kama wamebadilisha utaratibu.

Huko watakupa options nyingi zaidi mkuu. Mimi nilienda Ila maisha yakanipiga ndoige kwa hiyo nikacease kuwekeza pesa huko.

All the best kaka
 
Sijui kama nimeelewa mtoa mada unacholenga ila kwa maoni yangu
Kama ndio unaanza bora uwekeze sehemu yenye low risk ili upate uzoefu, hata ukipata hasara uweze kuinuka tena
Unachukua salary unawekeza kwenye high risk wakati huna uzoefu
...
mf. Unanunua mahindi gunia100 kwa 70k kila gunia ukitegemea uuze 100k kila gunia, na mazao yalivyonarisk kuyatoa shambani mpaka sokoni unakuta bei ishashuka kwa kasi imefika 60k mpaka hapo una hasara+ulitumia usafiri+wabebaji+dalali
...
Atleast ukianza na Low risk duka la mahitaji ya nyumbani utazoea mdogo mdogo ila mazao ukipata loss ni loss kwelikweli tena parefu
...
Ndio sikatai nguvu ya kuthubutu hata kama utafeli ni nzuri ila angalia unafeli vipi
 
Nenda kwenye jengo lao sukari house posta. Pale kila siku wana darasa la kujifunza unless kama wamebadilisha utaratibu.

Huko watakupa options nyingi zaidi mkuu. Mimi nilienda Ila maisha yakanipiga ndoige kwa hiyo nikacease kuwekeza pesa huko.

All the best kaka
Nitawatafuta vzuri niwafatilie mm npo matakoni mwa nchi kaka
 
Kwa nilioyaona kupitia watu wangu..

Kilimo kama una pesa, taarifa na watu sahihi. Hakishindikani kitu maana hata umwagiliaji unaweza kufanya Ila kama unategema mvua na umeingia kichwa kichwa. Unaweza kulia vibaya

But kama unaamini brother. Go for it mkuu
Hakika mkuu

Watu wana feli kwa sababu wanajipa taarifa wenyewe kimoyo moyo

Ila hawawi informed economically, risk wise, customer behaviour, mazingira, etc

Kila kitu kinalipa unapokuwa well informed na mtajiπŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―
 
Hakika mkuu

Watu wana feli kwa sababu wanajipa taarifa wenyewe kimoyo moyo

Ila hawawi informed economically, risk wise, customer behaviour, mazingira, etc

Kila kitu kinalipa unapokuwa well informed na mtajiπŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―
Tatizo hao walio well informed kukupa hizo info kwa whattsap sio rahisi. Kwa hiyo kwenda field muhimu na kama una mtu pia. Inakuwa rahisi zaidi

Ila mbongo akupe ushauri Ila sio umpe pesa yeye ndo akufanyie vitu. Utalia
 
Mwanzoni nilikua siwaamini
Ahaa sio mbaya.. Piga simu tu na ufuatilie website yao pia..

Na humu nakumbuka kuna uzi uliichambua UTT na ndo nilipoiona pia. So tafuta hiyo thread itakusaidia pia
 
Yah usikope ili kuanzisha biashara Bali kopa ili kuendeleza biashara.
Kupia hicho kimshahara afadahali uungeunge kufungua biashara isiyo na afya ukisha pata uzoefu ndio uingie benki ili kukopa.
 
siku nimehudhuria semina ya UTT ndio nikajua wengi tunaweka pesa bank na bado kuna makato. Wakati kuna soko la fedha kama fixed deposits ama bonds za serikali ambazo zinatoa riba kwa muwekezaji

Kwa hiyo naamini kama mtu hana ujuzi wala udhoefu wa biashara. Aanze mdogo mdogo ili kulijua soko na wateja kabla ya kuwekeza milioni kumi kwa biashara ambayo huijui.

Hivyo ni aidha uanze mdogo mdogo au uwekeze kwenye biashara zenye risk ndogo kama hizo bonds ama kuizika pesa kwenye nyumba au viwanja maana thamani yake inapanda na si kushuka.
Hii utt mie nataka kuijua kwa ndani zaidi.
Nikiweka mil 35 naweza pata laki 5 kwa mwezi?
 
Back
Top Bottom