Kama wewe ni mwana JF halafu upo online sasa hivi saa 6 usiku nijibu unafanya nini?

Nasikiliza nyimbo za kuabudu zinaingia moyoni weachatuu
 
Hahahaaa yani umentoa kwetu tandale mpk obey then hufungui mlango[emoji134][emoji134]

hahahaha huo ndio uanaume sasa,unarudi halafu cha kushangaza utakuja tena siku nyingine,lol..
 
Ukosefu wa usingizi mwilini ndo tatizo langu
unawaza marejesho ya mkopo nini " usikute uliweka nyumba rehani" ... Aisee kama ndio iko hivyo usingizi lazima ukutoroke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…