Kama wewe ni mwana Simba na kesho Simba inacheza halafu huendi kuisapoti kumkaanga Mwarabu naomba ukae pembeni na usiishangilie tena Simba, huna faida

Kama wewe ni mwana Simba na kesho Simba inacheza halafu huendi kuisapoti kumkaanga Mwarabu naomba ukae pembeni na usiishangilie tena Simba, huna faida

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kesho kwetu ni siku muhimu mno kuliko Simba day, kesho ndio ile Ubaya Ubwela yetu sisi.

Sasa Kama ulkuwa ukienda uwanjani kuiangalia Simba ikicheza na Fountain gate, ukaenda Simba day ndugu yangu wa faida, kesho ndio cku muhimu kuliko cku zote katika maisha ya Simba msimu huu.

Tusipokwenda kuishangilia Simba kesho basi tumewaangusha wachezaji.

Wachezaji wanahitaj sana sapoti yetu ili kufuzu kesho.

Kesho mechi ni ngumu lkn kwa uwezo wa allah tunakwenda group stage

Yanga wameona mechi yao haina mvuto wakienda kucheza pale kwa Mkapa watu hawatajaa na brand itashuka.

Wao wana mechi żao za kucheza pale kwa Mkapa, hawana uwezo wa kujaza full house gemu vs CBE

Pia wanaamini wameshafuzu kwahiyo kwa Mkapa ingekuwa uchi tu

Sasa sisi Simba hizi ndio kazi zetu, kesho ni do or die lazima tumkaange mwarabu bila huruma

Ewę mwanasimba mwenzangu Kama unasoma post hii twendeni tukamsapoti Yussuf Kagoma

Twendeni tukamsapoti Mussa Camara, twendeni tukamuone Fernandez akizunguka duara la juu pale

Itakuwa makosa makubwa sana kuacha kwenda kumuona Leonel Ateba.

Hamza na Che Malone wako ones ha utulivu wa hali ya juu mbele ya Mabululu

Simba inatuhitaji sana sisi Kama mchezaji wa 13 ili tukamalize kazi

Tusipofuzu kesho ndugu zangu mjini hakutakalika na Simba itaathirika sana na mwisho Yanga watatupiku kwenye orodha ya vilabu 10
 
Simba inatuhitaji sana sisi Kama mchezaji wa 13 ili tukamalize kazi, sorry mchezaji wa 12
 
Shime shime wana Simba tukajaze uwanja kesho Lupaso, pia tuhamasishane kwenye matawi yetu, mwarabu hatoki kwa Mkapa, nguvu moja, boda boda na daladala ziwekwe bendera honi jiji lichangamke toka asubuhi. Kesho ni zamu yetu wanasimba kuonesha ukubwa wetu.

Kesho wanasimba tuache keyboard home tukashangilie timu yetu Lupaso.
 
Asante kwa ushauri. Ila tambua wengine tupo mikoani huku Mugumu, Mara. Ukienda wewe kutuwakilisha na familia yako yote itapendeza sana.
 
Back
Top Bottom