1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Kitaalam hamna kitu hapo.Rwemamu na kocha wa makipa wametupiwa virago kisa wapo karibu na Masingisa daaah kuna kitu kinaemdelea pale simba kwa kweli
Mkuu , Mikia bila ushirikina, hawawezi kucheza mpira.Hiyo no,5 ina maana karne hii timu bado inategemea ushirikina?
Vipimo haviko sawa, viwanja vingi vya zamani ni 100m×70mFafanua hapo ktk pichi ndogo
Vipimo viko sawa sasa iweje?
Morrison kafungiwa muda gani?Huyo mwamuzi wa prison na simba uliyekuwa unamtetea kafungiwa mwaka mzima
Si mlikuwa mnasema Yanga inaua kipaji chake mkampa kiburi na kumchukua,the same to Morisson,sasa mtakula matapishi yenu.Huo ni utovu wa nidhamu na hakuna professionalism hapo na huyo kipa hatacheza tena
Ili Simba tusonge mbele tungeondoa hawa waswahili kwenye uongozi wa club, Simba haishindwi kuajiri kocha msaidizi na kocha wa makipa wazuri kutoka nje. Hawa kina Matola watamfanyia majungu kila kocha atayekuja kwa maslahi yao binafsi.1. Posho ya Wachezaji imekuwa ikipunguzwa na kuna muda hawakupewa kabisa isivyo kawaida na Mo Dewji anafichwa
2. Kuna Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji hali ambayo imesababisha Chuki na Majungu baina yao
3. Kocha Sven Vandebroek amechokwa kutokana na Misimamo yake ya Kutopangiwa Timu na sasa anachomeshwa afukuzwe
4. Kocha Msaidizi Matola na Kocha wa Makipa Mwarami kuongoza kwa Majungu kwa Kipa Kakolanya kwa Kumpendelea Manula
5. Kuna Wataalam (Waganga) Wawili Mmoja kutoka Kisiwani na mwingine Morogoro wamedhulimiwa Pesa yao japo ilitolewa
6. Hali ya Uchumi sasa Klabuni si nzuri kutokana na 'Mwekezaji' Hela yake nyingi kuitoa Kukisaidia Chama fulani katika Kampeni
7. Usaliti mkubwa baina ya Viongozi 'Waandamizi' wa Klabu kutoka pande zote mbili za Mwekezaji na ule wa Wanachama
Mo Dewji na 'Poti' wangu Magori ambaye ni Mshauri Mkuu wa Mwekezaji ambao wote kwa ujumla najua huwa mnanisoma mno tu GENTAMYCINE hapa Jamvini (JamiiForums) tafadhalini upesi sana 'okoeni' hii hali kwa kuanzia huko 'Uongozini' Kwenu mlipo ila 'ikiwapendeza' upesi sana Vunjeni Benchi lote la Ufundi kwani Kocha Mkuu 'hasikilizwi' na Msaidizi Matola ana 'Majungu' kupitiliza.
Nadhani tatizo la Simba ni technical, siyo logistical.1. Posho ya Wachezaji imekuwa ikipunguzwa na kuna muda hawakupewa kabisa isivyo kawaida na Mo Dewji anafichwa
2. Kuna Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji hali ambayo imesababisha Chuki na Majungu baina yao
3. Kocha Sven Vandebroek amechokwa kutokana na Misimamo yake ya Kutopangiwa Timu na sasa anachomeshwa afukuzwe
4. Kocha Msaidizi Matola na Kocha wa Makipa Mwarami kuongoza kwa Majungu kwa Kipa Kakolanya kwa Kumpendelea Manula
5. Kuna Wataalam (Waganga) Wawili Mmoja kutoka Kisiwani na mwingine Morogoro wamedhulimiwa Pesa yao japo ilitolewa
6. Hali ya Uchumi sasa Klabuni si nzuri kutokana na 'Mwekezaji' Hela yake nyingi kuitoa Kukisaidia Chama fulani katika Kampeni
7. Usaliti mkubwa baina ya Viongozi 'Waandamizi' wa Klabu kutoka pande zote mbili za Mwekezaji na ule wa Wanachama
Mo Dewji na 'Poti' wangu Magori ambaye ni Mshauri Mkuu wa Mwekezaji ambao wote kwa ujumla najua huwa mnanisoma mno tu GENTAMYCINE hapa Jamvini (JamiiForums) tafadhalini upesi sana 'okoeni' hii hali kwa kuanzia huko 'Uongozini' Kwenu mlipo ila 'ikiwapendeza' upesi sana Vunjeni Benchi lote la Ufundi kwani Kocha Mkuu 'hasikilizwi' na Msaidizi Matola ana 'Majungu' kupitiliza.
Kwani hizo 5 za jana vp?.Nadhani tatizo la Simba ni technical, siyo logistical.
I mean lipo zaidi kwenye pitch (both katika training sessions & matchdays).
Yule kwashakoo si kocha kabisa yule!
Nakubaliana nawe hundred percentNadhani tatizo la Simba ni technical, siyo logistical.
I mean lipo zaidi kwenye pitch (both katika training sessions & matchdays).
Yule kwashakoo si kocha kabisa yule!
wachezaj hawaelewan na kocha wao1. Posho ya Wachezaji imekuwa ikipunguzwa na kuna muda hawakupewa kabisa isivyo kawaida na Mo Dewji anafichwa
2. Kuna Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji hali ambayo imesababisha Chuki na Majungu baina yao
3. Kocha Sven Vandebroek amechokwa kutokana na Misimamo yake ya Kutopangiwa Timu na sasa anachomeshwa afukuzwe
4. Kocha Msaidizi Matola na Kocha wa Makipa Mwarami kuongoza kwa Majungu kwa Kipa Kakolanya kwa Kumpendelea Manula
5. Kuna Wataalam (Waganga) Wawili Mmoja kutoka Kisiwani na mwingine Morogoro wamedhulimiwa Pesa yao japo ilitolewa
6. Hali ya Uchumi sasa Klabuni si nzuri kutokana na 'Mwekezaji' Hela yake nyingi kuitoa Kukisaidia Chama fulani katika Kampeni
7. Usaliti mkubwa baina ya Viongozi 'Waandamizi' wa Klabu kutoka pande zote mbili za Mwekezaji na ule wa Wanachama
Mo Dewji na 'Poti' wangu Magori ambaye ni Mshauri Mkuu wa Mwekezaji ambao wote kwa ujumla najua huwa mnanisoma mno tu GENTAMYCINE hapa Jamvini (JamiiForums) tafadhalini upesi sana 'okoeni' hii hali kwa kuanzia huko 'Uongozini' Kwenu mlipo ila 'ikiwapendeza' upesi sana Vunjeni Benchi lote la Ufundi kwani Kocha Mkuu 'hasikilizwi' na Msaidizi Matola ana 'Majungu' kupitiliza.