Kama wewe ni mwanaume mpole, usioe mwanamke wa Pwani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah hatareeeeh san
 
Watu wawili uliowataja hawawezi kuwakilisha watu wote wa pwani utafiti wako haujakamilika ku generalize.
 
Mkuu tittle yako inatosha kutoa ujumbe kwa walengwa, nilipofika maeneo hayo kwa Mara ya Kwanza nirifkiri nina gundu, Kila mwanamke niliyekutana naye anaongea zaidi ya kasuku kiukweli nilinyong'onyea kwa kipindi kile lakini baada ya kuuliza wenyeji wakadai hiyo ni aina ya wanawake wa pwani, much respect mkuu kwa ujumbe
 
Hahaha mkuu waombe ushauri kwa wenyeji,huku tunajuana ye anaenda mkole sisi jando.hawa wa mikoani hata kampeni ya toa mkono wa sweta imeanza miaka ya juzi unategemea nn?wengi wameanza mapenzi chuo inshort ngono ndo ndoa ya pwani hawajui bupa hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wengine ni wapole ila ni hatari kuliko sumu ya panya huwa tunagawana majengo kimya kimya


Sent using IPhone X
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…