Kama wewe ni mwanaume mpole, usioe mwanamke wa Pwani

Kama wewe ni mwanaume mpole, usioe mwanamke wa Pwani

Mimi nilioa wa pwani tunapata mtoto,akataka kunipanda kichwani kwa kuwa aliniona mpole,siku hiyo akaeudi saa tatu usiku najiuliza umetoka wapi,ananichongea mdomo,nilimtandika makofi 2tu, ikabidi aondoke akasema wewe utaniulia ndani,baada ya wiki nikamsindikiza na talaka,ulikua 2014 mpaka leo,watu wanakula tu,na kuolewa ngumu yule na mdomo mchafu ule.
Alikua anatokea kilwa,wamatumbi washenzi kabisa,mwili mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pwani wameathiriwa na Mila zao na dini kwamba mtoto wa kike anaanza kufundishwa ktmbna akibalehe tu yaani kuhudumia mwanaume wa aina yoyote ,hivyo wanajikuta ndoa ni kitu kidogo sana kwao jambo lingine mahali anayotolewa mwanamke ni ndogo sana yaani elfu hamsini ,lako moja,lakimbili,hivyo hata mkigongana tu anasema 'hivi wewe wewe umenitolea mahali shilingi ngapi"jambo jingine mafundisho ya hao makungwi ni hatari kwa afya ya ndoa kwa mfano wasichana wa Pwani wanaamini hakuna km ya mtu mmoja yaani lazima uwe na mafiga matatu,mmoja wa vocha,mwingine wa delaaaa,mwingine wa kwenye Ngoma.

Lakini pia malezi ya jumla ya wazazi wa Pwani ni mabaya sana yaani wao mtoto wanajua akishakula ugali basi malezi mengine hawajui watoto wa kike kurudi nyumbani saa nne usiku sio tatizo,kulala kwenye vigodoro sio tatizo,kuleta boyfriend ndani kwa mama au kwa baba sio tatizo hivyo jamii yote ya mikoa yenye huo ukanda wa bahari tabia zao zote zinaendana kwa hapa dar es salaam angalia temeke ,mbagala,kigamboni,geuka upande wa pili bagamoyo,kisarawe kwa mzee wa nyungu,mkuranga,kibiti,rufiji,tanga,mtwara,tunduru,mafia.Ukioa hayo maeneo vituko vyake sio mchezo suala la maendeleo utalisikia ulaya.

Hapo kwenye dini husemi ukweli,uislamu Kama huijui sema,katika uislamu mtoto wa kike hata akiachwa na mumewe anatakiwa arudi kwao kwa wazazi Kama wapo.

Kama wamefariki Ana Kaka anatakiwa akakae kwa Kaka yake,kwenye uislamu mtoto wa kike hatakiwi kuwa huru ndo maana akitoka kwa wazazi anakabidhiwa kwa mume,wakishindwana anarudishwa kwa wazazi sio sehemu nyingine,suala la kwenda kupanga haruhusiwi,vinginevyo ndo labda kapata kazi nje ya mkoa wanapoishi wazazi wake hapo hamna namna.

Karibu kuuliza au kupata taarifa sahihi Toka kwa wanaoujua uislamu tafadhali.
 
Mmmhh unataka nyumba iwe bariidiiii km uji wa hostel, mmoja Moto mwingine baridi unapata vuguvugu. Acha fikra hizo Kuna watu na wapqani wao maisha burudani
 
Badilisha ondoa neno "mpole" andika "Bwege".
Mimi hata akinijibu vibaya tukiwa wawili tu shughuli yake anaijua aisee. Namlamba "faru" mbili tu adabu inashikana na roho,nafsi na mwili.
 
Sisi wanaume wa pwani tunajua udhaifu wao mutuulize kabla yakuoa mtaumbuka,
In short kama wanawake wa pwani wanajua Mapenzi jua kabisa na wanaume wa pwani wanajua zaidi kwaiyo km umridhishi tutakumegea mpk ukome,mwanamke wapwani ata usiwe na 100 mbovu lakini usiku ukimgegeda anavyotaka haaaaaa utapikiwa chakula kitaaaaamuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom